Sitak kuamin kama ni Watz ndio wamemchagua mwimbaji bora wa nyimbo za asilia kuwa ni Mpoki na kibao chake cha Shangazi katika kinyanganyiro cha tuzo hiyo iliyowashirikisha wasanii wengine kama Mrisho mpoto na kibao chake Adela lkn kura za watz zilimwangukia Mpoki.Ikiwa kama watz wa leo tunachagua nyimbo zenye mashairi ya SHANGAZ UNA NYETI KULIKO HIZI TUNAZO, NYOKA HANA KIUNO NDO MANA HAVAI SHANGA kama anavyoimba mpoki na kuacha nyimbo zenye mashairi ya kutufundisha na kuonya basi tumekwisha.
ILA KAMA MAF