Ngunichile
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 356
- 519
Mwenzenu na mwaka wa nne sasa hivi. Kila msichana ninayemfuata mimi hajawahi kunikubalia na wengine wananikataa kwa dharau sana halafu wasichana ninaowafuata ni wakawaida mno. Mwanzoni niliona kawaida ila sasa hivi naona kama ni tatizo.
Naomba ushauri wenu.
T A F U T A P E S A