Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Nilikutana naye kwenye usafiri wa umma mida ya night ya siku X. Baada ya kumrushia voko alielewa, basi ndo ukawa mwanzo wa mahusiano
Kesho yake nilimuomba tukutane kwenye Bar X ili tupoze makoo yetu. Sikuwa na wazo la eti nifanye naye mapenzi kwa kuwa niliona ni mapema mno. Alivyotwanga bia ya 7 nikaona anaanza kubadilika na kukaa mikao ya ajabu ajabu, akilegeza sana sauti, kunitazama kilegevu huku akijipapasa papasa. Alivyoongeza bia moja ustahimilivu ulimshinda ikafikia wakati anapapasa dushee. Nikiwa katika hali ya sintofahamu nikaruka mfukoni kutazama balance, kisha nikamrusha Guest nikachakata mbususu japokuwa nilichakata kana kwamba nachakata mfu
Basi bhana ikawa kawaida yangu. Tunakutana bar akiwa malaika, akilewa anakuwa Shumileta. Jana jioni nilimuomba tukutane kwenye kijibar X mida ya saa 12. Kutokana na majukumu ya hapa na pale nikapata dharura, alikuwa hapokei simu bali kujibu tu text tena kwa ufupi sana. Nilimsisitiza anisubiri mpaka nitakaporejea. Mida ya saa mbili nikawasili kwenye ile bar na kumkuta akiwa kakaa meza moja na wanaume wawili hivi wazee wa vyuma
Sikuwa na papara, nikaamua kuvuta kiti pembezoni kabisa mwa kona ya bar, nikapata moja moto huku nikitazama mrejesho muda huo namtext pasi na kujibiwa, kupiga simu yake inakuwa busy. Mida ya saa nne hivi nikashangaa anapapasa dubwasha la mmoja kati ya wale wanaume. Mmoja wao akainuka na kutokomea kwenye kona, dakika kumi baadae alirejea akiwa na bajaj, wote watatu waliruka ndani ya Bajaj hiyo na kutokomea kusikojulikana
Leo asubuhi nimejikuta nimezungukwa na chupa za take away ambazo nilizijaza bia usiku wa jana huku zote zikiwa empty kabisa. Nimekuta text zake zaidi ya 10 ila sijajibu kitu. Tayari nimekwishavunja mahusiano
Wanawake ni wauaji. Homa ya mapenzi inaua asikwambie mtu, japo mapenzi yetu hayana hata siku 15
Kesho yake nilimuomba tukutane kwenye Bar X ili tupoze makoo yetu. Sikuwa na wazo la eti nifanye naye mapenzi kwa kuwa niliona ni mapema mno. Alivyotwanga bia ya 7 nikaona anaanza kubadilika na kukaa mikao ya ajabu ajabu, akilegeza sana sauti, kunitazama kilegevu huku akijipapasa papasa. Alivyoongeza bia moja ustahimilivu ulimshinda ikafikia wakati anapapasa dushee. Nikiwa katika hali ya sintofahamu nikaruka mfukoni kutazama balance, kisha nikamrusha Guest nikachakata mbususu japokuwa nilichakata kana kwamba nachakata mfu
Basi bhana ikawa kawaida yangu. Tunakutana bar akiwa malaika, akilewa anakuwa Shumileta. Jana jioni nilimuomba tukutane kwenye kijibar X mida ya saa 12. Kutokana na majukumu ya hapa na pale nikapata dharura, alikuwa hapokei simu bali kujibu tu text tena kwa ufupi sana. Nilimsisitiza anisubiri mpaka nitakaporejea. Mida ya saa mbili nikawasili kwenye ile bar na kumkuta akiwa kakaa meza moja na wanaume wawili hivi wazee wa vyuma
Sikuwa na papara, nikaamua kuvuta kiti pembezoni kabisa mwa kona ya bar, nikapata moja moto huku nikitazama mrejesho muda huo namtext pasi na kujibiwa, kupiga simu yake inakuwa busy. Mida ya saa nne hivi nikashangaa anapapasa dubwasha la mmoja kati ya wale wanaume. Mmoja wao akainuka na kutokomea kwenye kona, dakika kumi baadae alirejea akiwa na bajaj, wote watatu waliruka ndani ya Bajaj hiyo na kutokomea kusikojulikana
Leo asubuhi nimejikuta nimezungukwa na chupa za take away ambazo nilizijaza bia usiku wa jana huku zote zikiwa empty kabisa. Nimekuta text zake zaidi ya 10 ila sijajibu kitu. Tayari nimekwishavunja mahusiano
Wanawake ni wauaji. Homa ya mapenzi inaua asikwambie mtu, japo mapenzi yetu hayana hata siku 15