Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Wakati mwingine unaongea pweinti hadi basi.kula tano
Kitufe cha kutoa 5 hujakiona? Yeah leo nimeamka vizuri
Wakati mwingine unaongea pweinti hadi basi.kula tano
Wapo mkuu ila tatizo ni kuwa huu utandawazi umesababisha muda mwingi tunakuwa mbali na jamii zetu.
mbona tayari.maana leo nadhani Roho wa Mungu amekushukiaKitufe cha kutoa 5 hujakiona? Yeah leo nimeamka vizuri
Mkuu nakushauri usali sana na uzidishe maombi maana mke mwema anatoka kwa Mungu shukuru hao walio kukimbia ni wachunaji tu na ungebahatika kumuoa mmoja usinge dumu nae
Du mkuu unaijua mitaa ya nyumbani, nitaufanyia kazi ushauri.Chukua likizo siku moja nenda home ukachukue kifaa kimojawapo. Kama una muda mrefu hujatia timu kwenu, basi kwa taarifa yako kwa sasa kuna vifaa bomba kichizi. Kama hujui maeneo basi kwa uchache ngoja nikusaidie.
Kwanza: Kuna mabinti kule Ugalla. Hawa ni mchanganyiko wa Wasukuma,
Wanyamwezi na Wapimbwe. Ni wazuri kweli kuliko wa Posta Mpya.
Pili: Kule Mpimbwe ndo usiseme. Mabinti wana Shape wale sijapata kuona.
Tatu: Pia unaweza kwenda Kwela. Pia kuna watoto bomba tu.
Nne: Ukitia timu Laela, unaweza kushindwa kuchagua kutokana na kila binti kuwa mzuri.
Tano: Nenda pia Nsimbo, MpandaNdogo, Inyonga, Karema, Kasanga na bila
kusahau Kabungu.
Kote huko hukosi demu wa kuoa badala ya kung'ang'ania mjini.
hapo utakuwa unamdanganya huyo binti au unajidanganya mwenyewe?Naombeni ushauri kutokana na tatizo linalonikumba ktk haya mambo ya kimahusiano. Ni muda mrefu nimekuwa nikikimbiwa na wapenzi, na hii hutokea kila ninapowatajia KABILA langu. Mpenzi wangu wa mwisho niliamua kumueleza nia yangu ya kwenda kujitambulisha kwao, lakini alikataa kwa sababu kuwa hawezi kuolewa na mimi, hata kwao watamshangaa kuolewa na mtu kutoka kabila linalosifika kwa uchawi(sina uhakika na hili) na uhusiano uliishia hapo. Kutokana na umri kuanza kunitupa mkono, nimekuja kwa staili ya kuoa na nimepata binti mmoja ambae bado hajapata details zangu. Kutokana na experience niliyopata kutoka kwa wapenzi wa zamani, nafikiria kumdanganya kuhusu kabila langu ili naye asije akanibwaga.
Naombeni ushauri nikaoe kijijini mtu wa kabila langu au niendelee na mpango wa kumdanganya huyu kuhusu kabila langu!
Du huko naona kuna akina Halle Berry watupu!. Funga safari fasta ukajinyakulie ki Halle Berry chako huko.Chukua likizo siku moja nenda home ukachukue kifaa kimojawapo. Kama una muda mrefu hujatia timu kwenu, basi kwa taarifa yako kwa sasa kuna vifaa bomba kichizi. Kama hujui maeneo basi kwa uchache ngoja nikusaidie.
Kwanza: Kuna mabinti kule Ugalla. Hawa ni mchanganyiko wa Wasukuma,
Wanyamwezi na Wapimbwe. Ni wazuri kweli kuliko wa Posta Mpya.
Pili: Kule Mpimbwe ndo usiseme. Mabinti wana Shape wale sijapata kuona.
Tatu: Pia unaweza kwenda Kwela. Pia kuna watoto bomba tu.
Nne: Ukitia timu Laela, unaweza kushindwa kuchagua kutokana na kila binti kuwa mzuri.
Tano: Nenda pia Nsimbo, MpandaNdogo, Inyonga, Karema, Kasanga na bila
kusahau Kabungu.
Kote huko hukosi demu wa kuoa badala ya kung'ang'ania mjini.
Nyamayao..hao wadada unaowapata jamani ni wa wapi ambao mpaka leo wana imani hizo?....
Hata mimi nashangaa, tena wengine wameenda kidato!
Naombeni ushauri kutokana na tatizo linalonikumba ktk haya mambo ya kimahusiano. Ni muda mrefu nimekuwa nikikimbiwa na wapenzi, na hii hutokea kila ninapowatajia KABILA langu. Mpenzi wangu wa mwisho niliamua kumueleza nia yangu ya kwenda kujitambulisha kwao, lakini alikataa kwa sababu kuwa hawezi kuolewa na mimi, hata kwao watamshangaa kuolewa na mtu kutoka kabila linalosifika kwa uchawi(sina uhakika na hili) na uhusiano uliishia hapo. Kutokana na umri kuanza kunitupa mkono, nimekuja kwa staili ya kuoa na nimepata binti mmoja ambae bado hajapata details zangu. Kutokana na experience niliyopata kutoka kwa wapenzi wa zamani, nafikiria kumdanganya kuhusu kabila langu ili naye asije akanibwaga.
Naombeni ushauri nikaoe kijijini mtu wa kabila langu au niendelee na mpango wa kumdanganya huyu kuhusu kabila langu!
Haa haa haaa, asisahau kupita na pale Fyengelezya !!Nenda pia Nsimbo, MpandaNdogo, Inyonga, Karema, Kasanga na bila kusahau Kabungu.
katavi,
kwani lazima uoe?