Kila Nikiwatajia Kabila Wananikimbia

Kila Nikiwatajia Kabila Wananikimbia

Kama anvator yako ina uhusiano na sura yako ni sahihi kabisa hao mabinti kukukataa...
 
huo mda unaokuwa nao wanakuwa wanatafiti kuona kama mnaweza kumda kwa pamoja maisha kwenye chama cha walala bila nguo, unapotaja kabila walishaconclude co usiwalaumu kwa uamzi sahihi wanaofanya. kaza buti utampata mnaendana epuka sana kuoa kutimiliza lengo, ni ngumu kumpata mnaendana kwa asilimia zote ila walau katika baadhi ya vipengele inawezekana!
 
Katavi, mposuta kuno kwacha asante karesaa. Njoo nyumbani mbona kuna warembo wa kifipa wengi sana?.

Taitu kalesa! Umejitahidi kidogo kugonganisha lugha!
 
Hii inanikumbusha Harusi moja ambapo baba mkwe baada ya kuombwa kutoa nasaha alisema kuwa yeye hana mengi ila hili moja kuwa " Ukiamua kuoa / kuolewa AMA ukiamua kutokuoa / kutokuolewa ujue kuna siku utajuta". Mzee wa kisukuma akaishia hapo na kukaa chini huku akiwaacha hoi waalikwa wote ikiwa ni pamoja na wazazi wazaa chema toka Moshi.

Dah! Ngoja nitafakari hiyo kauli ya mzee!
 
"If you love someone let him/her go, if she/he doesn't come back she/he was not meant for you, if she/he comes back then she/he is yours" Msemo wa wahenga, kuwa mvumilivu mambo mazuri hayahitaji haraka. Ila ukweli ni kitu muhimu sana.
 
Tatizo limeisha kaka, nimepata ambae hajauliza mambo ya kabila wala nini..

Nyie mmedumu sana JF... Hongera zenu...

Hivi inawezekana mtu akaingia JF na akatoka na kuhama kabisa... Kuna blog iliyojipanga,kwa forums za kutosha kama hii Katavi?
 
Nyie mmedumu sana JF... Hongera zenu...

Hivi inawezekana mtu akaingia JF na akatoka na kuhama kabisa... Kuna blog iliyojipanga,kwa forums za kutosha kama hii Katavi?

Sijaona bado kama JF. Unatupongeza sisi kuwa tumedumu, kuna wakongwe tumewakuta na wanaendelea kudunda. Hakuna zaidi ya JF!
 
Siku akijua imekula kwako. Usisahau kuna mchango wako kwangu wa mnuso

Anajua japo hajawahi kuuliza. Nikikamilisha mchakato nitakutaarifu ili nisiukose huo mchango wako.....lol!
 
"If you love someone let him/her go, if she/he doesn't come back she/he was not meant for you, if she/he comes back then she/he is yours" Msemo wa wahenga, kuwa mvumilivu mambo mazuri hayahitaji haraka. Ila ukweli ni kitu muhimu sana.

Nakubaliana nawe kuwa mambo mazuri hayahitaji haraka..
 
Anajua japo hajawahi kuuliza. Nikikamilisha mchakato nitakutaarifu ili nisiukose huo mchango wako.....lol!

Hata mimi nitakupa mchango mkuu.
Nikiangalia avatar yako,uwa nacheka sana.
Kwa kuniongezea uhai,unastahili mchango wangu.
 
wewe unazungumza kufurahisha baraza...
wanaokukataa labda hawakwambii sababu halisi..
wafipa wengi wanaoa mpaka warabu na wahindi....

...ndoa ya Mfipa na Mwarabu usipime, sijui 'jamaa' watapenyea wapi. Mdau vuta subira, angalia usiathirike kisaikolojia ukaishia kuoa asiyekufaa. Amini you're perfect and CHOOSE THE RIGHT GIRL. Wazo la ukabila FUTA, wana matatizo yao mengine tu. God bless.
 
Du jamaa yangu mm nina mama mmoja anatafuta mchumba yoyote toka kule radi inapoanguka hata mchana kiangazi, kesho nitamweleza muwasiliane na picha yake nitaituma humuhumu JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom