Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,672
- Thread starter
- #41
Hapana sijawahiUliwahi kusahau kwenda likizo ukabaki Chuoni/Shuleni?
Hapana sijawahiUliwahi kusahau kwenda likizo ukabaki Chuoni/Shuleni?
Sijazoea mkuuJifunze kupiga chabo kwenye pepa ka vip
Sipigag nyeto mkuuAcha punyeto..!
bila kusahau na sokoban!! hapa ndipo atakapojua kuna magemu ni konyo!We jamaa kilaaaza kisenge
Ila nakushauri uwe unakula sana matunda kama vile maparachichi,ndizi,nyanya,na machungwa
Pia jitahidi uwe unakula chokolate
Na pia wakati wa kusoma uwe una chupa ya maji ya kunywa pembeni na ikiwezekana uwe unatafuna big G zitakusaidia sana kuimarisha ufahamu
Pia jitahidi uwe unafanya mazoezi ili kuongeza msukumo wa damu mwilini na jitahidi uwe unapata fresh air ili kuimarisha ubongo
Pia jitahidi ucheze brain games kama vile puzzle na sudoku
Aiseebila kusahau na sokoban!! hapa ndipo atakapojua kuna magemu ni konyo!
Sio kweli mkuuUnapiga sana punyeto eeh !!! Maana moja ya madhara yake ni kusahau vitu haraka
Asante mkuuAcha Kukremu Badala Yake Soma Kwa Uwelewa (Ufahamu)...
Ukijiona unakumbuka kuwa umesahau ulichosoma, BASI JUA HUNA TATIZO, MAANA UNA KUMBUKUMBU.... kwamba umesahau.... TENA UZURI ZAIDI UNAYAKUMBUKA ULIYOYASAHAU PINDI UNAPOKUWA KWENYE CHUMBA CHA MTIHANI...Habari zenu,
Jaman tatizo langu ni kwamba kila nikijisomea madaftari baada ya masaa 24 nasahau nilichokisoma lakin ikifika siku ya mtihani kumbukumbu zinarudi.
![]()
Je hili tatizo linasababishwa na nini?
Je nifanyaje ili niwe nakumbuka kila mara nilichojisomea.
Asanten
acha na mi nijipe ujiko kama ni kucheza hili gemu nafikiri nishafika hata stage ya 200! lkn sasa duuuuuh! unatakiwa utulize kichwaAisee
Shukran sana mkuuUkijiona unakumbuka kuwa umesahau ulichosoma, BASI JUA HUNA TATIZO, MAANA UNA KUMBUKUMBU.... kwamba umesahau.... TENA UZURI ZAIDI UNAYAKUMBUKA ULIYOYASAHAU PINDI UNAPOKUWA KWENYE CHUMBA CHA MTIHANI...
Wenzio w=huwa wanasahau yote wanapoingia kwenye chumba cha mtihani...
BY THE WAY, KUKUMBUKA KITU WAKATI HUNA KAZI NACHO MUDA HUO, KUNA FAIDA GANI?
Swadakta.Punyeto na Zinaa huchangian kudhoofisha kumbu kumbu.Sitisha zinaa utapata matokeo mazuri.Sipigag mkuu ili namgegedaga demu wangu mara 6 kwa wiki isipokuwa ijumaa
Shukran mkuuSwadakta.Punyeto na Zinaa huchangian kudhoofisha kumbu kumbu.Sitisha zinaa utapata matokeo mazuri.
Nashukuru mkuuTumia vyakula vyenye protini
Shukran kiongoziKula matunda na mboga za majani na maziwa kwa wingi $samaki na dagaa nahic unatatizo LA kusahau kweny ubongo
Sasa kama siku ya mitihani una kumbuka hapo kuna shida gani sasa?Habari zenu,
Jaman tatizo langu ni kwamba kila nikijisomea madaftari baada ya masaa 24 nasahau nilichokisoma lakin ikifika siku ya mtihani kumbukumbu zinarudi.
![]()
Je hili tatizo linasababishwa na nini?
Je nifanyaje ili niwe nakumbuka kila mara nilichojisomea.
Asanten
Poa kiongoz nimekuelewaSasa kama siku ya mitihani una kumbuka hapo kuna shida gani sasa?