Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,672
- Thread starter
- #101
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Jiamini tu.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Jiamini tu.
Hapana mkuu nina ukoo wetuuna ukoo na bashite???
jiulize mara mbili mbili..
Ndioduh! jambo ambalo naliweza kwa asilimia 20% tu!
kwaiyo mwl akiandika defn unaimeza hivyohivyo na kwenye paper huwa unaishusha hivyohivyo..?
Mkuu mimi ni kiziw so sielewan na mwalimu mpaka nijielekeze mwenyeweJaribu kuelewa unapo soma usikariri...... yani ukisoma husianisha na real life ukishindwa ujue ulicho kisoma kipo for temporary kichwani kwako......na hii inapleka mtu kua na elimu alafu hajaa elimika....
Sometimes naimeza au naichanganuA maana mimi ni kiziw nakiwaga sielewan na mwalimu akiwa anafundisha namchora tu mpaka baadae huwa najisomea mimi mwenyeweduh! jambo ambalo naliweza kwa asilimia 20% tu!
kwaiyo mwl akiandika defn unaimeza hivyohivyo na kwenye paper huwa unaishusha hivyohivyo..?
Endita mwakata uli
.......!!!?
Mwee.... Unakumbuka ngono mnoSipigag mkuu ili namgegedaga demu wangu mara 6 kwa wiki isipokuwa ijumaa
jaribu kujichunguza utajua tatizo lkn wengiwao hukariri kwasababu ya lugha! kiingeleza!! hawakijui so unakuta nivigumu kuelewa hasa kama asipotafuta maana yake(tafsiri ya hicho kiingeleza).Sometimes naimeza au naichanganuA maana mimi ni kiziw nakiwaga sielewan na mwalimu akiwa anafundisha namchora tu mpaka baadae huwa najisomea mimi mwenyewe
Kwan mkuu KENZY ukikarir then ukijaza kwenye mtihan kama mwalimu alivyofundisha unafel aujaribu kujichunguza utajua tatizo lkn wengiwao hukariri kwasababu ya lugha! kiingeleza!! hawakijui so unakuta nivigumu kuelewa hasa kama asipotafuta maana yake(tafsiri ya hicho kiingeleza).
ndio maana wengi wanashusha defn ileile aliyoandika mwl..
lkn ktk lugha mtu anayoifahamu(rahisi kueleweka kwake pia anamisamiati ya kutosha) atakuandikia kitu kile kwa uelewa wake.. so lugha pia inachangia watu kukariri
haufeli lkn haitakuwa vizuri wewe kuitwa msomi au mtu ulielimika!!Kwan mkuu KENZY ukikarir then ukijaza kwenye mtihan kama mwalimu alivyofundisha unafel au