Kila nikisoma baada ya masaa 24 nasahau

Kila nikisoma baada ya masaa 24 nasahau

We jamaa kilaaaza kisenge

Ila nakushauri uwe unakula sana matunda kama vile maparachichi,ndizi,nyanya,na machungwa

Pia jitahidi uwe unakula chokolate

Na pia wakati wa kusoma uwe una chupa ya maji ya kunywa pembeni na ikiwezekana uwe unatafuna big G zitakusaidia sana kuimarisha ufahamu

Pia jitahidi uwe unafanya mazoezi ili kuongeza msukumo wa damu mwilini na jitahidi uwe unapata fresh air ili kuimarisha ubongo

Pia jitahidi ucheze brain games kama vile puzzle na sudoku
 
We jamaa kilaaaza kisenge

Ila nakushauri uwe unakula sana matunda kama vile maparachichi,ndizi,nyanya,na machungwa

Pia jitahidi uwe unakula chokolate

Na pia wakati wa kusoma uwe una chupa ya maji ya kunywa pembeni na ikiwezekana uwe unatafuna big G zitakusaidia sana kuimarisha ufahamu

Pia jitahidi uwe unafanya mazoezi ili kuongeza msukumo wa damu mwilini na jitahidi uwe unapata fresh air ili kuimarisha ubongo

Pia jitahidi ucheze brain games kama vile puzzle na sudoku
Shukran mkuu
 
Back
Top Bottom