Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,064
- 18,367
akijibu ndiyo nistueUlishawahi kuweka ahadi na dem mkutane siku fulani ukasahau?
akijibu ndiyo nistueUlishawahi kuweka ahadi na dem mkutane siku fulani ukasahau?
hapanaUlishawahi kuweka ahadi na dem mkutane siku fulani ukasahau?
Piga msuli smart,, huku unaskiza muziki laiiiiiini na mtoto mzuri umempakata huku kimini kimejivuta hivi, lazima uelewe tu hahahahhaa,,,, (joke)

Kivip mkuu nifafanulieM nazan labd huushughulish vyem ubongo wako, na haupo serious na mamb yko
Sio kweli mkuuUnapiga sana punyeto eeh !!! Maana moja ya madhara yake ni kusahau vitu haraka
Shukran mkuuWe jamaa kilaaaza kisenge
Ila nakushauri uwe unakula sana matunda kama vile maparachichi,ndizi,nyanya,na machungwa
Pia jitahidi uwe unakula chokolate
Na pia wakati wa kusoma uwe una chupa ya maji ya kunywa pembeni na ikiwezekana uwe unatafuna big G zitakusaidia sana kuimarisha ufahamu
Pia jitahidi uwe unafanya mazoezi ili kuongeza msukumo wa damu mwilini na jitahidi uwe unapata fresh air ili kuimarisha ubongo
Pia jitahidi ucheze brain games kama vile puzzle na sudoku
Kama ya kwakoutakuwa na nyota ya bashite.
omba Mungu.
Sipigag mkuu ili namgegedaga demu wangu mara 6 kwa wiki isipokuwa ijumaaUnapiga punyeto mara ngapi kwa wiki?
Tuanzie hapo