Achana na hiyo habari!!!!Shalom,
Kwa sisi wasabato leo ni siku ya kwanza ya wiki,
Nikirudi kwenye mada, nimemkumbuka sana mwandani wangu hadi yani nakua naweweseka, nikiona jina lake au text moyo unapasuka, haya ni mapenzi au ugonjwa wa moyo?
Akishindwa kukuelewa na hapa, arudi tu makambi aisee!Una ugonjwa wa moyo mkuu, acha kufananisha magonjwa na vitu vya ajabu.
Sijui kama ni ugonjwa ila haupo peke yako.Shalom,
Kwa sisi wasabato leo ni siku ya kwanza ya wiki,
Nikirudi kwenye mada, nimemkumbuka sana mwandani wangu hadi yani nakua naweweseka, nikiona jina lake au text moyo unapasuka, haya ni mapenzi au ugonjwa wa moyo?
Hivi umempelekaga wapi yule mrembo wa jf? Somebody B?Hayo ni mateso yakujitakia.
Mpende Mungu sana na si huyo kiumbe
Am sorry to hear your choice was bad, you can love the mentioned and still be deep to your mwandani.Achana na hiyo habari!!!!
Mapz yamebaki ma 3 tu...
...Mapz ya Mungu
...Mapz ya Mama na
...Mapz ya Baba
Relax na mapigo ya moyo yatakuwa powa tu ....
Usiseme uongo ni dhambi. Moyo wako ungekuwa umepasuka, usingeweza kuyaandika hayo kwani marehemu hawezi kuandika.Shalom,
Kwa sisi wasabato leo ni siku ya kwanza ya wiki,
Nikirudi kwenye mada, nimemkumbuka sana mwandani wangu hadi yani nakua naweweseka, nikiona jina lake au text moyo unapasuka, haya ni mapenzi au ugonjwa wa moyo?