Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 11,334
- 23,226
Kumbe jibu unaloNot really, it is psychology state where two personality are perfectly fits
Kumbe jibu unaloNot really, it is psychology state where two personality are perfectly fits
Nakubalianaa na weweeeNimejiridhisha, ni mapenzi mazito sana, let's love flourish
Soul met...najuaaa unachopitia nimepitiaa piaa hongeraa kwa kumpata your heart desire..Mungu awatunzeNot really, it is psychology state where two personality are perfectly fit
Huyo unampenda sana, omba na yeye awe anakupenda pia kinyume na hapo ni kujipa stress tuShalom,
Kwa sisi wasabato leo ni siku ya kwanza ya wiki,
Nikirudi kwenye mada, nimemkumbuka sana mwandani wangu hadi yani nakua naweweseka, nikiona jina lake au text moyo unapasuka, haya ni mapenzi au ugonjwa wa moyo?
Piga masta urud kwenye default kenge wewShalom,
Kwa sisi wasabato leo ni siku ya kwanza ya wiki,
Nikirudi kwenye mada, nimemkumbuka sana mwandani wangu hadi yani nakua naweweseka, nikiona jina lake au text moyo unapasuka, haya ni mapenzi au ugonjwa wa moyo?
Penzi changaa penzi tamu penzi koleaa
Au utotoSio ugonjwa wa moyo, ni ugonjwa wa akili