Kila nikimkumbuka moyo unapasuka, haya ni mapenzi au ugonjwa wa moyo?

Nina ex wng nikiongea nae tu yeye anakua na hali iyo moyo unamuenda mbio mpk kuna mda unamuhic asa pumzi anavuta kwa shida ni pale mwanz tu ila kadir maongez yanapoongezeka anakuwa kawaida
 
Nina ex wng nikiongea nae tu yeye anakua na hali iyo moyo unamuenda mbio mpk kuna mda unamuhic asa pumzi anavuta kwa shida ni pale mwanz tu ila kadir maongez yanapoongezeka anakuwa kawaida
Nipatie namba yake mkuu kizuri kula na wenzio
 
Kwhy unapiga za mwishomwisho
Hmn nongea nae tu just stori nimeacha kumla kama miez 2 nyuma ivi 😂 ila wanawake hawa ni nomaa ukiona ivo anavyompamba bwana wake kwa status halaf uku kimya kimya kinyama nakila huwa nachoka
 
Haya mambo bana mpaka upigwe na kitu kizito ndio akili hua inakaa sawa, unampenda mtu mpaka ukisikia jina lake unaweweseka? naona upo katikati ya giza na mwanga ngoja akusukumize gizani naamini utarudi na uzi mwingine hapa
Hajakutana na kipigo mKuu atakuja upesi upesi kufuta huu uzi,tumpe muda (miezi 6) halafu tutarudi kuutafta huu uzi kama utakuwepo .
 
Siku zote ukimfanya binadamu kuwa chanzo cha furaha yako lazima kuna siku utaumia tu.

Huyo anaeonyesha kukupenda sana kukujali leo kuna siku atakubadilikia hutaamini kama ni yeye.

Everything changes, nothing is permanent, the only thing which is permanent is change itself.
 
Shalom,
Kwa sisi wasabato leo ni siku ya kwanza ya wiki,
Nikirudi kwenye mada, nimemkumbuka sana mwandani wangu hadi yani nakua naweweseka, nikiona jina lake au text moyo unapasuka, haya ni mapenzi au ugonjwa wa moyo?
Huo ni ugonjwa wa kizungu unaitwa Anti-virus
 
Siku zote ukimfanya binadamu kuwa chanzo cha furaha yako lazima kuna siku utaumia tu.

Huyo anaeonyesha kukupenda sana kukujali leo kuna siku atakubadilikia hutaamini kama ni yeye.

Everything changes, nothing is permanent, the only thing which is permanent is change itself.
Ok nothing is permanent but let's enjoy the moment, why should i bother thinking about negative future instead of enjoy the current love flow?
I wish you to find the love of your life
 
Hmn nongea nae tu just stori nimeacha kumla kama miez 2 nyuma ivi 😂 ila wanawake hawa ni nomaa ukiona ivo anavyompamba bwana wake kwa status halaf uku kimya kimya kinyama nakila huwa nachoka
Is this supposed to be fun or sad story? Achana na mali za watu
 
Back
Top Bottom