Kila mwanaume aliyefika Mkoa wa Tabora na viunga vyake anakiri kuwa Tabora ni kiboko ya Upwiru

Msipotoshe ya wanyamwezi tafadhali.

Mtuachie Tabora yetu kwa amani, kinachowaponza Wanyamwezi ni ukarimu wao tuu.
Mgeni anakirimiwa na mlo ulioandalowa mahsusi, sio kiporo.

Wakati anasubiri chakula kiandaliwe atapewa karanga na asali
Chakula kikiiva ni ugali wa dona kuku wa kienyeji mboga za majani zilizoungwa na karanga (nsansa na nswalu)
Akimaliza kula ataletewa maziwa na matobolwa wakati anamalizia maongezi
Akiwa anaondoka atafungashiwa mahama.

Kama ni mgeni wa kukaa zaidi ya siku tatu, siku ya nne anatoka na wenyeji wake kwenda shamba.

Wanyamwezi ni wakarimu.... Ila wakikasirika utakimbia na tai kichwani.....

Kuna wageni waliolowea Tabora kama wanyamwezi wanawachakachua sana wanyamwezi, (majirani wanaoizunguka tabora... waha, wanyarwanda waliolowea Kahama, wanyiramba na wanyaturu n.k.)

Tabora ni yetu, amani na utulivu ni wetu.
Sawa niliisoma story yako ya ex na kupelekewa Moto, shikamoo Tabora
 
Kuna msemo huwa unasema....

Baada ya kukaa na sisi kwa siku nzima au wiki nzima, mazuri yetu yachukue, mabaya yetu tuachie...

Wanyamwezi wanajituma kwenye shughuli za kilimo, Tabora hakuna njaa, huwezi kutqna na mnyamwezi ana kwashakoo au amedhoofu kwa kukosa chakula.

Tunaamini mtu akila akashiba kuna mawili, atakutendea mema au kutendea wengine mema, au atakugeuka atakutendea mabaya maana amepata nguvu ya kufanya ubaya au ataenda tendea wengine ubaya...

Sisi tunawakirimu watu kwa chakula wale washibe hadi wasaze, halafu hatujali malipo. Ila Mnyamwezi aliyekasirika kaa nae mbali, usijesema hukuambiwa mapema.

Tabora tunalima mahindi, maharage, viazi vitamu, karanga, ufuta na tumbaku kama mazao ya chakula na biashara.
Asali ipo ya kiasili na kurina kwa kutengeneza mizinga ya nyuki kwa ajili ya biashara.
Tuna mifugo ya kutosha, ng'ombe na mbuzi hivyo nyama na maziwa yapo tele. Tunafuga kuku wa kienyeji ni wakubwa hadi unaweza kushangaa na usiamini kama ni kuku.

Hayo ni mazuri na mema ya wanyamwezi, yachukue ukayaendeleze.

Mabaya utayokutana nayo yaache kama yalivyo, ukiyachukua sio tuu unaenda kuyasambaza na kuwaanika wanyamwezi, bali unajiharibu na wewe maana sifa/tabia ni nguo... utajikuta ili uisimulie vizuri/uisambaze itakuwa umeivaa matokeo yake unaowasimulia na kuwasambazia watakuona wewe ndio sio....

Wanyamwezi tumekaa palee....🤓.

Screenshot_20231025-110045_Chrome.jpg


Screenshot_20231025-110125_Chrome.jpg


Screenshot_20231025-110356_Chrome.jpg
Screenshot_20231025-113633_Chrome.jpg


Screenshot_20231025-113705_Chrome.jpg
 
Msipotoshe ya wanyamwezi tafadhali.

Mtuachie Tabora yetu kwa amani, kinachowaponza Wanyamwezi ni ukarimu wao tuu.
Mgeni anakirimiwa na mlo ulioandalowa mahsusi, sio kiporo.

Wakati anasubiri chakula kiandaliwe atapewa karanga na asali
Chakula kikiiva ni ugali wa dona kuku wa kienyeji mboga za majani zilizoungwa na karanga (nsansa na nswalu)
Akimaliza kula ataletewa maziwa na matobolwa wakati anamalizia maongezi
Akiwa anaondoka atafungashiwa mahama.

Kama ni mgeni wa kukaa zaidi ya siku tatu, siku ya nne anatoka na wenyeji wake kwenda shamba.

Wanyamwezi ni wakarimu.... Ila wakikasirika utakimbia na tai kichwani.....

Kuna wageni waliolowea Tabora kama wanyamwezi wanawachakachua sana wanyamwezi, (majirani wanaoizunguka tabora... waha, wanyarwanda waliolowea Kahama, wanyiramba na wanyaturu n.k.)

Tabora ni yetu, amani na utulivu ni wetu.
kinachowaponza Wanyamwezi ni ukarimu wao tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefika Tabora mara kadhaa sambamba na hilo katika usomaji na ufuatiliaji wa threads za hapa jukwaani, nimebaini pasipo na shaka wala mawaa yoyote yale kuwa mkoa wa Tabora unaongoza kwenye tiba ya upwiru na upatikanaji wa wana upwiru hasa wenye virutubisho mpakato.

Toka kitambo si kwa waliosoma Tabora, waliopita, kibiashara, kikazi, wote wanakiri kuwa Tabora Kwa ngono na urahisi wa ngono ni kawaida sana.

Mabinti wa Tabora wanapewa baraka za kufanya hayo na wazazi na walezi wao na sio jambo geni bali ni utamaduni wao wa kuyaishi mapenzi.

Kama wapo wanaobisha tukutane chini kwenye comments.

Tabora ni moto na Tabora ni mama lao, si mishangazi, si vitoto si midada Tabora ni next level.

Kama kawa kama kawaida kama dawa Tabora ni kitovu cha kutibu upwiru.

Ni hayo tu

Wadiz
acha uongo, mkoa una wasichana wenye maumbile yanayohitaji kwenda mloganzila.
mi nakaa tabora, hakuna kitu
 
Msipotoshe ya wanyamwezi tafadhali.

Mtuachie Tabora yetu kwa amani, kinachowaponza Wanyamwezi ni ukarimu wao tuu.
Mgeni anakirimiwa na mlo ulioandalowa mahsusi, sio kiporo.

Wakati anasubiri chakula kiandaliwe atapewa karanga na asali
Chakula kikiiva ni ugali wa dona kuku wa kienyeji mboga za majani zilizoungwa na karanga (nsansa na nswalu)
Akimaliza kula ataletewa maziwa na matobolwa wakati anamalizia maongezi
Akiwa anaondoka atafungashiwa mahama.

Kama ni mgeni wa kukaa zaidi ya siku tatu, siku ya nne anatoka na wenyeji wake kwenda shamba.

Wanyamwezi ni wakarimu.... Ila wakikasirika utakimbia na tai kichwani.....

Kuna wageni waliolowea Tabora kama wanyamwezi wanawachakachua sana wanyamwezi, (majirani wanaoizunguka tabora... waha, wanyarwanda waliolowea Kahama, wanyiramba na wanyaturu n.k.)

Tabora ni yetu, amani na utulivu ni wetu.
Acha uongo shangazi
 
Wanyamwezi wanajituma kwenye shughuli za kilimo, Tabora hakuna njaa, huwezi kutqna na mnyamwezi ana kwashakoo au amedhoofu kwa kukosa chakula.
Wahenga walishasema 'Mzigo mzito mpe Mnyamwezi' nimekuelewa mkuu, Ila ile story yako ya ex aliekua anakuepelekea Moto nilikuelewa zaidi
 
Back
Top Bottom