Kila mtu wa Dar ni tapeli

Kila mtu wa Dar ni tapeli

Mtu akikugusa kidogo tu kwenye daladala, lazima ujishishike mfukoni kuangalia simu na wallet zipo.
Kuna siku nataka kupanda daladala, abiria wamejaa mlangoni, niko pembeni nasubiri waingie wakatokea vijana 2 bangi nyingi, Vipi mdogo wetu umepata seat, au tukuwahie? Kabla sijawajibu nikaangalia usalama wa pochi kwanza, ilikuwa upande waliokuwa wao. Nilivyoona kila kitu kipo sawa ndo nikawajibu😁.
 
Dar Kuna nini?

Mtu anakuwa ndugu, rafiki au jamaa mzuri ila akifika Dar akajua kiswahili anakuwa fisi na tapeli.

Yaani anaumiza kichwa anatunga story amtumie elfu 50 halafu anazima simü

Ukimwagiza mahala anapotea

Mitandaoni mnajionyesha mambo safi na tu vitambi na pensi vinjunga kumbe hamna hata 100

Unamkwepa hata ndugu yako wa damu kisa maisha ya kuigiza

Tuliwambia mje vijijini tulime, mnatuona washamba

Mtu anatoka Bukoba mnawasiliana, ukifika Chalinze anazima simü anakuja kukutafuta baada ya siku 4 ati simu iliibiwa

Ardhi ya Dar na utapeli vilifunga ndoa

Kila mtu wa Dar ni mwonga na tapeli
Pole jomba ushalizwa
 
Karibuni huku kwetu nanjilinji tulime, mashamba bure kabisa ni nguvu zako tu.
 
Dar Kuna nini?

Mtu anakuwa ndugu, rafiki au jamaa mzuri ila akifika Dar akajua kiswahili anakuwa fisi na tapeli.

Yaani anaumiza kichwa anatunga story amtumie elfu 50 halafu anazima simü

Ukimwagiza mahala anapotea

Mitandaoni mnajionyesha mambo safi na tu vitambi na pensi vinjunga kumbe hamna hata 100

Unamkwepa hata ndugu yako wa damu kisa maisha ya kuigiza

Tuliwambia mje vijijini tulime, mnatuona washamba

Mtu anatoka Bukoba mnawasiliana, ukifika Chalinze anazima simü anakuja kukutafuta baada ya siku 4 ati simu iliibiwa

Ardhi ya Dar na utapeli vilifunga ndoa

Kila mtu wa Dar ni mwonga na tapeli
Umepigwa tukio kubwa sana sasa unalia nini

USSR
 
Dar Kuna nini?

Mtu anakuwa ndugu, rafiki au jamaa mzuri ila akifika Dar akajua kiswahili anakuwa fisi na tapeli.

Yaani anaumiza kichwa anatunga story amtumie elfu 50 halafu anazima simü

Ukimwagiza mahala anapotea

Mitandaoni mnajionyesha mambo safi na tu vitambi na pensi vinjunga kumbe hamna hata 100

Unamkwepa hata ndugu yako wa damu kisa maisha ya kuigiza

Tuliwambia mje vijijini tulime, mnatuona washamba

Mtu anatoka Bukoba mnawasiliana, ukifika Chalinze anazima simü anakuja kukutafuta baada ya siku 4 ati simu iliibiwa

Ardhi ya Dar na utapeli vilifunga ndoa

Kila mtu wa Dar ni mwonga na tapeli
mkuu umeandika kwa hisia sana
tusameheane kiongozi maisha magumu mjini huku
 
Back
Top Bottom