Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,149
- 190,640
Dar lazima uwe wingaKitu ambacho naamini kwa watu wa dar ni kuwa wote ni mawinga
Dar lazima uwe wingaKitu ambacho naamini kwa watu wa dar ni kuwa wote ni mawinga
Dar kuna vituko we acha tu...yaani ni sawa na mitandaoni kila mtu ni taita vibaya, kila mtu ni msomi..Tatizo sio ardhi ya dar, kuna ule ushamba wa watu wa mikoani kama sio born town wanahisi wakifikaga dar ni lazima ujioneshe mambo safi na akati mtu mwenyewe apeche alolo! Wanakuwa vistory vingi vya kuringishia maisha mazuri kuliko ya mikoani wakihisi hao watu wa mikoani hawawezi fika dar! Siku si inafika unamtaarifu mwana nakuja huko anaanza fikiria zile fix alizokupigaaa ukifika utazikuta? Penyewe kapanga chumba cha efu 10 kwenye pagale halina hata sealing bord, bafu anaoga nje kuanzia kifuani anaonekana akisimama waaaiii hizo aibu kwanini azikubali
Kikikisi watataDar Kuna nini?
Mtu anakuwa ndugu, rafiki au jamaa mzuri ila akifika Dar akajua kiswahili anakuwa fisi na tapeli.
Yaani anaumiza kichwa anatunga story amtumie elfu 50 halafu anazima simü
Ukimwagiza mahala anapotea
Mitandaoni mnajionyesha mambo safi na tu vitambi na pensi vinjunga kumbe hamna hata 100
Unamkwepa hata ndugu yako wa damu kisa maisha ya kuigiza
Tuliwambia mje vijijini tulime, mnatuona washamba
Mtu anatoka Bukoba mnawasiliana, ukifika Chalinze anazima simü anakuja kukutafuta baada ya siku 4 ati simu iliibiwa
Ardhi ya Dar na utapeli vilifunga ndoa
Kila mtu wa Dar ni mwonga na tapeli
Poa njoo pm unipe locationNjoo nitakupa hekari 5 ulime
sawa kaka tusi msahau Mad Max , naye aka lime viazi mbeyaPoa njoo pm unipe location
Sitokua pekeyangu, nguvu kazi ninayo.
Cc Intelligent businessman huyu yupo mjini hana ramani, nitakuja nae.
Karibu Mkoa wa KageraPoa njoo pm unipe location
Sitokua pekeyangu, nguvu kazi ninayo.
Cc Intelligent businessman huyu yupo mjini hana ramani, nitakuja nae.
Huyu itampasa aisahau jf kwa muda, mambo ya kulike kila comment tukiwa shambani hatuyataki.sawa kaka tusi msahau Extrovert, naye aka lime viazi mbeya
shida Extrovert ana weza geuka kunguru aka chochoraHuyu itampasa aisahau jf kwa muda, mambo ya kulike kila comment tukiwa shambani hatuyataki.
Tutamrudhisha alikotoka kwa roli au kama mzigo kwenye kontena.
Hafugiki au sio??shida Extrovert ana weza geuka kunguru aka chochora
Nakuja PM kaka.Karibu Mkoa wa Kagera
Wilaya ya Kyerwa, Nina hekari 5 Nyakatantu,
Zitakufaa maisha sio mpaka Dar es salaam
hahaha nilikuwa naitaka hi comment nkajua ni mimi tu kumbe wengi hi akili inatujiaKila mtu ni mjanja dar kuna ile akili ukitoka mkoa ukishuka tu kwa bus bas akili ina kwambia kabisa upo dar be have kama mwenyeji
Kabisa acha kuuliza uliza ukifik nenda kwa boda tena sasaiv wame rahisisha kuna bolt una request una fika sehemu ya tukio ila hii ya kutaka uonekane wewe mgeni mbaya sana hiihahaha nilikuwa naitaka hi comment nkajua ni mimi tu kumbe wengi hi akili inatujia
Mimi mwaminifu 100% plus. Tuko watu tunaojitambue usiogope.Dar Kuna nini?
Mtu anakuwa ndugu, rafiki au jamaa mzuri ila akifika Dar akajua kiswahili anakuwa fisi na tapeli.
Yaani anaumiza kichwa anatunga story amtumie elfu 50 halafu anazima simü
Ukimwagiza mahala anapotea
Mitandaoni mnajionyesha mambo safi na tu vitambi na pensi vinjunga kumbe hamna hata 100
Unamkwepa hata ndugu yako wa damu kisa maisha ya kuigiza
Tuliwambia mje vijijini tulime, mnatuona washamba
Mtu anatoka Bukoba mnawasiliana, ukifika Chalinze anazima simü anakuja kukutafuta baada ya siku 4 ati simu iliibiwa
Ardhi ya Dar na utapeli vilifunga ndoa
Kila mtu wa Dar ni mwonga na tapeli