ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,782
- 36,012
Dar Kuna nini?
Mtu anakuwa ndugu, rafiki au jamaa mzuri ila akifika Dar akajua kiswahili anakuwa fisi na tapeli.
Yaani anaumiza kichwa anatunga story amtumie elfu 50 halafu anazima simü
Ukimwagiza mahala anapotea
Mitandaoni mnajionyesha mambo safi na tu vitambi na pensi vinjunga kumbe hamna hata 100
Unamkwepa hata ndugu yako wa damu kisa maisha ya kuigiza
Tuliwambia mje vijijini tulime, mnatuona washamba
Mtu anatoka Bukoba mnawasiliana, ukifika Chalinze anazima simü anakuja kukutafuta baada ya siku 4 ati simu iliibiwa
Ardhi ya Dar na utapeli vilifunga ndoa
Kila mtu wa Dar ni mwonga na tapeli
Mtu anakuwa ndugu, rafiki au jamaa mzuri ila akifika Dar akajua kiswahili anakuwa fisi na tapeli.
Yaani anaumiza kichwa anatunga story amtumie elfu 50 halafu anazima simü
Ukimwagiza mahala anapotea
Mitandaoni mnajionyesha mambo safi na tu vitambi na pensi vinjunga kumbe hamna hata 100
Unamkwepa hata ndugu yako wa damu kisa maisha ya kuigiza
Tuliwambia mje vijijini tulime, mnatuona washamba
Mtu anatoka Bukoba mnawasiliana, ukifika Chalinze anazima simü anakuja kukutafuta baada ya siku 4 ati simu iliibiwa
Ardhi ya Dar na utapeli vilifunga ndoa
Kila mtu wa Dar ni mwonga na tapeli