Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,604
Mzee Mwanakijiji hawa sio wapinzani wa JK kwa sababu JK hagombei 2015!.Kwani Lowassa, Membe na Sitta siyo wapinzani wa JK?
Kama Chadema itaendelea kucheza makida makida ya hide and seek kwenye urais wa 2015, then rest assured, rais ajaye yuu miongoni mwa watatu hao na tutaindandika Malawi immediately there after kama itashikilia msimamo wa kung'ang'ania mpaka bandia wa mkoloni Mwingereza aliyeupoka Tanganyika!.
Leo ni tarehe 20 Agosti, 2012, take note ya hii tarehe, nitakukumbusha haya maneno 20 Agosti 2015!.