Kweli Malawi wanatisha kijeshi na wanahoja zenye nguvu.
Rais wetu kaingiwa na woga mkubwa sana baada ya kuelezwa facts na Wamalawi.
Na baada ya kugundua nchi yetu haina jeshi bali kikundi cha walevi wanaojua kucheza gwaride na kufyeka nyasi tu, ina mabomu mabovu mabovu yaliyo-expire na kulipuka ovyoovyo, sasa kanywea na kuchanganyikiwa hivyo kuanza kuropoka ovyo.
Rais wetu kaingiwa na woga mkubwa sana baada ya kuelezwa facts na Wamalawi.
Na baada ya kugundua nchi yetu haina jeshi bali kikundi cha walevi wanaojua kucheza gwaride na kufyeka nyasi tu, ina mabomu mabovu mabovu yaliyo-expire na kulipuka ovyoovyo, sasa kanywea na kuchanganyikiwa hivyo kuanza kuropoka ovyo.