Untie
Member
- Dec 3, 2014
- 74
- 16
Mjadala kuhusu issue ya Dr Mwakyembe kuondolewa pale uchukuz uko kila mahali na maswali ni mengi sana kuliko majibu. Ni shida kwa kweli.
Yaan tena zaidi ya shida.. Ni vile tuu kwamba wote tunalifahamu kaburi au kwa kuliona tena linapokuwa wazi au kwa wakati marehemu akiwekwa ndan yake. ila hakuna hata mmoja ajuae kunanini/kitugan hutokea ndan ya kaburi mara baada ya kaburi lile kufukiwa/kufunikwa.