Ila safari hii nimependa ratiba, kwamba hatakutana na Obama, kwa mujibu wa habari ya itinerary ya Jasusi.
Hataonekana anajipalatisha kwa Rais mpya, bali amekuja kwa ishu za foreign affairs, anakutana na foreign minister, Clinton, anaondoka. Kama ndio hivyo.
I don't believe he had any official meetings with them in London. As i recall he only officially held meetings with Brown, Hu Jintao, and Medvedev.
Petu Hapa,Yaani humwamini raisi wako! The guy could be many things but i don't think i could call him a lier!
Petu Hapa,
Yes, you can call him a liar. Remember when he told us the not a single shilling has been given to Richmond/ Dowans? You want me to go on?
THE WHITE HOUSE
Office of the Press Secretary
____________________________________________________________
FOR IMMEDIATE RELEASE May 19, 2009
Statement by the Press Secretary on the visit of Tanzanian President Kikwete
The President looks forward to welcoming President Kikwete of Tanzania to the Oval Office on Thursday, May 21, 2009. Tanzania is a strong partner in sub-Saharan Africa, and the two leaders will meet to discuss a wide range of regional and bilateral issues, including how the United States can support sound governance, economic development, and stability throughout the continent. President Obama looks forward to working closely with President Kikwete to tackle shared challenges, including the global financial crisis and its impact on sub-Saharan Africa.
THE WHITE HOUSE
Office of the Press Secretary
____________________________________________________________
FOR IMMEDIATE RELEASE May 19, 2009
Statement by the Press Secretary on the visit of Tanzanian President Kikwete
The President looks forward to welcoming President Kikwete of Tanzania to the Oval Office on Thursday, May 21, 2009. Tanzania is a strong partner in sub-Saharan Africa, and the two leaders will meet to discuss a wide range of regional and bilateral issues, including how the United States can support sound governance, economic development, and stability throughout the continent. President Obama looks forward to working closely with President Kikwete to tackle shared challenges, including the global financial crisis and its impact on sub-Saharan Africa.
Kikwete aahidiwa makubwa Marekani
Imeandikwa na Mwandishi Maalumu,
Chuo Kikuu maarufu cha Marekani na kampuni kubwa tatu za teknolojia ya kompyuta, vimekubali kuisaidia Tanzania kujenga uwezo utakaoifikisha kwenye kilele cha kuwa nchi kiongozi katika teknolojia hiyo Afrika.
Chuo kikuu cha Stanford na kampuni za Cisco, Google na IBM, wametoa msimamo huo wakati walipompokea Rais Jakaya Kikwete na kuzungumza naye katika siku ya pili ya ziara yake ya kikazi nchini hapa juzi. Rais Kikwete alitumia siku yake ya pili ya ziara kukutana, kuzungumza na kufanya ushawishi mkubwa kwa viongozi wa taasisi hizo katika eneo maarufu la teknolojia hiyo la Silicon Valley, California kuwekeza Tanzania. Kazi kubwa ya Rais Kikwete ilikuwa kuzishawishi taasisi hizo kuwekeza katika uchumi na taasisi za Tanzania.
Rais Kikwete alianza safari yake Chuo Kikuu cha Stanford, moja ya vyuo sita bora zaidi Marekani, ambako alikutana na kuzungumza na Rais wa chuo hicho, John Hennesy. Katika mazungumzo hayo, Hennesy aliafiki ombi la Rais Kikwete la kubadilishana ujuzi kati ya wahadhiri wa chuo hicho na wa vyuo vikuu vya Tanzania. Stanford ndicho kitovu cha ujuzi na utafiti wa elimu ya sayansi na teknolojia kwa ajili ya kampuni za teknolojia ya kompyuta katika eneo la Silicon Valley.
Kwenye chuo hicho, Rais Kikwete pia alipewa maelezo ya shughuli ambazo taasisi ya Mazingira ya Woods inafanya nchini kwa kushirikiana na Chuo cha Tiba na Sayansi ya Matibabu cha Muhimbili na taasisi nyingine katika jitihada za kutoa maji safi na salama kwa wananchi. Baada ya kupokea maelezo hayo, Rais Kikwete aliwaambia wahadhiri na wataalamu wengine wa taasisi hiyo: "Ninayo ndoto ya kuifanya teknolojia ya kompyuta msingi mkuu wa maendeleo ya Tanzania. Nataka nchi yetu iliongoze Bara la Afrika katika nyanja hizi.
Naomba mnisaidie." Rais Kikwete alisema ni makosa ya dhana ya maendeleo kuamini kuwa matatizo ya afya katika Afrika na Tanzania yanaweza kumalizika kwa kutilia mkazo tiba badala ya kupunguza matatizo ya afya, kwa kuhakikisha yanapatikana maji safi na salama. Kwenye makao makuu ya Cisco ambayo pia inaendesha shughuli za mafunzo ya teknolojia ya kompyuta katika Tanzania, Rais Kikwete alionyeshwa jinsi shughuli za mitandao ya kompyuta, inavyotumika kiuchumi na kupunguza gharama.
Akizungumza na viongozi na wataalamu wa kampuni hiyo, Rais Kikwete alielezea jitihada zinazofanywa na Tanzania katika eneo la kukuza matumizi ya teknolojia ya kompyuta ikiwa ni pamoja na kujengwa kwa mkongo wa Taifa kwa nia ya kusambaza teknolojia hiyo kwa wananchi wengi zaidi. Akiwa makao makuu ya kampuni ya Google, Rais alielezwa jinsi huduma za kampuni hiyo zinavyotumika kufanikisha uendeshaji wa Serikali kwa ufanisi mkubwa.
Kwenye kampuni ya IBM, Makamu Mwenyekiti wa Kampuni hiyo, Dk. Mark Dean, alimhakikishia Rais Kikwete kuwa kampuni hiyo, inayofikisha umri wa miaka 100 mwaka huu, itaendelea kuisaidia Tanzania na hasa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Tayari IBM inasaidia utaalamu katika shule ya teknolojia ya kompyuta ya UDOM, na Dk Dean alisisitiza kuwa kampuni hiyo ingependa kuona Tanzania inaliongoza Bara la Afrika katika utaalamu wa kompyuta. Alisema UDOM ni moja ya vyuo vikuu 4,000 ambavyo IBM inashirikiana navyo katika utafiti na mipango mingine duniani kati ya vyuo vikuu 19,000 duniani.
Hebu jamani nielimsheni.
1. Is it proper or normal kwa Rais wa nchi moja kutembelea nchi nyingine na asionane na Raisi wa nchi hiyo hata kumsalimia tu!
2. Safari yake hii Mh. Rais wetu alikaribishwa au ilipata baraka za Serikali ya Marekani. Kama ni hivyo ni kwanini asionane na Mh. Obama?
3. Nimesoma katika gazeti moja hapa Tanzania kuwa hii ni safari ya kiserikali na itachukua siku tisa. Mimi sijawahi kusikia safari ya Rais kuwa ya muda mrefu kiasi hicho kutembelea nchi moja tu. Jee gharama hizo zitalipwa na makampuni yaliyomkaribisha?
Tanzanian President Kikwete To Meet President Obama at Oval Office on Thursday
May 19, 2009 · Posted in Africa Intelligence, Politics
President Jakaya Kikwete of Tanzania will be meeting US president Barrack Obama on Thursday. The Tanzanian president who has always been in favor with US presidents will meet President Obama at the Oval office.
Tanzanian President Kikwete will meet with President Obama in the Oval Office on Thursday signaling the start of cordial relations between the two presidents. The move will certainly not go down well with Kenyan government which has more closer ties with President Obama from ancestry perspective.
However, Tanzanias peace and tranquil, democracy and zero corruption is seen as one of the key attributes that make Tanzania a more cordial friend of the Americans than Kenya. Kenya is more strategically placed and enjoys a monopoly in both military and economic advantages than any other East African country.
Obamas meeting with President Kikwete might bring about serious diplomatic nexus between Kenya and Tanzania. Already, President Kibaki has outdone his prime minister Raila Odinga in cementing his ties with Tanzanian leadership which indirectly might represent Kenyas interest to the American leader of Kenyan decent.
However, the prime minister Odinga is poised to visit the US and give lectures on African governance and democracy. But its not likely that he will get audience with the president Obama. Obama will visit Ghana and Egypt where he will give a keynote on American-Arab relations.
We will have to wait and see, what the President Kikwete of Tanzania meeting with President Obama will produce in terms of East Africa relations with the US.
...... habari ndo hiyo ... !!
Hii ni habari njema sana, ila tuwe na team ya maana ya kufuatilia hizo ahadi na kusimamia utekelezaji. Technology inaweza kusaidia sana hasa kuongeza ubora wa shule zetu na pia kwenye afya.
Kwa kadiri misaada inaendelea kutawala hawaoni haja ya kutafuta mbinu mbadala!
Kura tutampa na sera zake ni poa.Mnaopinga ziara za Jk ni wachache na hamtaweza kubadili chochote.
Kwi kwi kwi kwi!!!!!!!Zero corruption