Kikwete: Sihusiki Zanzibar

Kikwete: Sihusiki Zanzibar

Kwani jk alikuwa mjumbe wa tume ya uchaguzi au mwenyekiti wa tume ya uchaguzi zanzibar mpaka ahusike na uchaguzi huo.
 
Mtu unaweza ukawaficha binaadamu ila mungu akakuumbua .dua ya aliyedhulumiwa hairudi tusubirini wakati utakuja kutuambia
 
Tume ndio imesimamia hiyo hiyo inasema haukua wa haki,,,bila kusema nani kanyimwa haki ili apewe ushindi bila kurud kweny uvhaguz,,,hili linashida wakishashinda hao ccm wataweza kufanya vikao vya wawakilishi kweli au ndio watalindwa mwanzo mwisho wa uwakilishi wao.bora wangerudia wa Rais peke yake
 
kwani alietoka sauzi jion mbio mbio hadi zenji siku ya kufutwa matokeo alikuwa nan? Hakyanan we mzee mshirikiana sana

Mradi asipeleke ushirikina wake wa Msoga kwa Magufuli kwani haishi kurudi mara mbili mbili Magogoni!!
 
Sio zanzibar tu, jk amehusika kumuwezesha magu kufika ikulu
kwahili nakupinga asilimia zote... kilichotokea siku ya uchaguzi wa ccm hata jakaya hakutegemea.... ripoti ya ndani inasema baada ya washindani watatu kuingia kwenye kinyang'anyiro kura za maruhani zilimpitisha yule mama mzanzibar baada ya kuziomba kura hizo ktuka kundi la LOWASA. na ndipo JAKAYA akafuta matokeo na kueleza kuwa uchaguzi umeahirishwa mpaka kesho.
maamuzi yakafanyika ndipo kukawa hakuna jinsi apewe MAKUFULI kitu ambacho hakikuwa ni hesabu ya wanaharakati wa CHAMA.
 
Aisee
kwahili nakupinga asilimia zote... kilichotokea siku ya uchaguzi wa ccm hata jakaya hakutegemea.... ripoti ya ndani inasema baada ya washindani watatu kuingia kwenye kinyang'anyiro kura za maruhani zilimpitisha yule mama mzanzibar baada ya kuziomba kura hizo ktuka kundi la LOWASA. na ndipo JAKAYA akafuta matokeo na kueleza kuwa uchaguzi umeahirishwa mpaka kesho.
maamuzi yakafanyika ndipo kukawa hakuna jinsi apewe MAKUFULI kitu ambacho hakikuwa ni hesabu ya wanaharakati wa CHAMA.
 
Ni ukweli ambao hamtaki kuusikia JK ndio aliyemuambia JPM akachukue fomu Pombe mwenyewe akufikiria au na hii unaitaji tochi mkuu? Kwa nini asimuambie Membe? Kama CCM wakimtaka lowasa alipohama chama mbona hawakenda nae Ukawa?

Acha waendelee kujifariji, akiaga Mabalozi wanaowakilisha Afrika nchini China Jk alinukuliwa akisema Amechoka kazi ya Urais anatamani siku zuende na akasema atakuja Rais kijana kwa maana ya umri kama wake wakati anaingia (55) mchapakazi kuliko yeye, Magufuli aliomba kukutana na JK June 2015 amuombe aruhusu kulipwa wakandarasi billion 900 wanazodai ndipo JK akamwambia akachukue form Magu akauliza kama atatosha JK akamwambia kachukue kama kutosha au kutokutosha watajua wajumbe na haya yamesemwa hadharani na jk mwenyewe mbele ya JPM zaid ya mara moja.Tangu kuanza mwaka 2015 miradi yote ya ujenzi alienda kuifungua huku akimsifu sana.
Benard membe aliwekwa kama chambo muda wote bila hata ya Membe mwenyewe kujua ili kuwazubaisha akina Bashe waliotumia nguvu,resource na maarifa yao yote kumuandama Membe na kumuacha Magufuli.
Jina la Membe na January yaliwekwa kwny 5 bora kwa makusudi ili kuwa frustrate team Lowassa waache kushinikiza kurudishwa lowassa badala yake watumie nguvu nyingi kumtoa Membe na January na walivo kichwa maji walipokutana tu St Gasper ili kugomea Zoezi akapelekwa Muhindi na Pesa pale wakavurugwa wakaacha kujadili hoja walizopangiwa na Kingunge ikiwemo kupiga kura ya kumkataa Mwenyekti kwny NEC ikishindikana wote wasuse hivyo akidi isingetumia kwa kuwa 70% ya NEC walikuwa watu wa Lowassa.
Kamati kuu ya CCM kila jina ililoweka ililiweka kwa sababu na hata karatasi ya kura aliyopewa Lowasaa kwny NEC iliwekwa alama ya kutambua atakuwa kampigia nani na ikajulikana baadae na JK akasema baadae kuwa mchakato ulikuwa sahihi na ndio maana wakapiga kura na Lowassa akapiga kwa kumchagua JPM
 
Ulisema Pia, Escrow ni Pesa za Umma.
Alisema Pia hakuamwagiza Lowassa Kushinikiza Richmond
Alisema Pia hajui aliyemteka Ulimboma
Alimpandisha Cheo Kamuhanda baada ya Kumuua Mwangosi
Alisema Pia Familia yake haihusiki na Kusaidia ukwepaji kodi.
Amebakia tu Kusema kuwa, hajawahi Kamwe Kuvaa sare yoyote ya Kijani, Huyu Jamaa sijawahi kuona mnafiki kama yeye. Magari ya Deraya 700 Nani aliyanunua na Kwa dhumuni gani? Oh am sory yalikuwa yamewekwa kwenye Budget tangu awamu ya tatu wewe ulitekeleza tu eh mkuu. so funny!

Mnamuota eeh?

Akawapatia na mabarabara ya lami mfanye maandamano vizuri.
 
Back
Top Bottom