TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,815
Wale walikuwa wastaafu Tayari, Ukiangali waliohama na Lowassa wengi ni Wastaafu na Wezee wenye heshima zao, na Walikuwa hawana chochote cha Kupoteza eg Kingunge na Sumaye
Wale walikuwa wastaafu Tayari, Ukiangali waliohama na Lowassa wengi ni Wastaafu na Wezee wenye heshima zao, na Walikuwa hawana chochote cha Kupoteza eg Kingunge na Sumaye
nani alimuuliza?? hahahahaMwenyekiti wa CCM rais Mstaafu Jakaya Kikwete amesema hausiki na kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu Zanzibar October 28 mwaka jana.
Mwenyekiti wa ZEC Jecha Salimu Jecha alitangaza kufutwa kwa kwa matokeo ya uchaguzi uliofanyika October 25, akidai haukuwa huru na wa haki.
Tayari ZEC imeshatangaza kurudiwa kwa uchaguzi huo hapo machi 20 mwaka huu.
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwiKama zire fedha za mmmboga! Tsh. 1,600,000,000 za Escrow na Vile Visent! $ 600,000 za Rada, Kwa Mutu Muzito kama JK, Tsh 4,000,000,000,000 (sifuri zinaniishia) za safari si hera za soda! Nyie watanzani Wehu! Si Ngosha alikuwa anasema kila mahali serikali ya Jakaya Mlisho Kikwete Ni Taaajiri!
I didn't expect you to agree with me. I answered you for the sake of other honest readers. Well good day am kind of busy I have to go. ThanksRafiki wa kweli ni yule wa kwenye shida na raha.
Wameanza kujitoa maana hawana uhakika nini kitatokea baada ya machi 20nani alimuuliza?? hahahaha
Ubarikiwe mkuu ila tumshukuru JK kwa pamoja na kumuombea kwa Mungu aishi maisha marefu kwa kuhakikisha nchi imebaki mikononi mwa mtu salama.I didn't expect you to agree with me. I answered you for the sake of other honest readers. Well good day am kind of busy I have to go. Thanks
Tumshukuru lowassaUbarikiwe mkuu ila tumshukuru JK kwa pamoja na kumuombea kwa Mungu aishi maisha marefu kwa kuhakikisha nchi imebaki mikononi mwa mtu salama.
Watu hamjui,ishu ya zanzibar inasimamiwa kwa karibu sana na Samia Suluhu na Balozi Iddi seif hao kama kuitwa wanoko ni hao hata sefu anajuaWameanza kumruka Jecha
Hawa juniors sana CEO Mtanganyika.Watu hamjui,ishu ya zanzibar inasimamiwa kwa karibu sana na Samia Suluhu na Balozi Iddi seif hao kama kuitwa wanoko ni hao hata sefu anajua
Kwa kweli katika orodha ya wanafili duniani, JK anaweza kuwa katika top 10.Hivo jwtz waliovamia bwawani na kuzui kutangazwa matokeo ni amri ya Mamunyange?
Mwenyekiti wa CCM rais Mstaafu Jakaya Kikwete amesema hausiki na kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu Zanzibar October 28 mwaka jana.
Mwenyekiti wa ZEC Jecha Salimu Jecha alitangaza kufutwa kwa kwa matokeo ya uchaguzi uliofanyika October 25, akidai haukuwa huru na wa haki.
Tayari ZEC imeshatangaza kurudiwa kwa uchaguzi huo hapo machi 20 mwaka huu.
ALISEMA PIA HAJUI KWANINI MPAKA LEO TANZANIA NI MASKINI.Ulisema Pia, Escrow ni Pesa za Umma.
Alisema Pia hakuamwagiza Lowassa Kushinikiza Richmond
Alisema Pia hajui aliyemteka Ulimboma
Alimpandisha Cheo Kamuhanda baada ya Kumuua Mwangosi
Alisema Pia Familia yake haihusiki na Kusaidia ukwepaji kodi.
Amebakia tu Kusema kuwa, hajawahi Kamwe Kuvaa sare yoyote ya Kijani, Huyu Jamaa sijawahi kuona mnafiki kama yeye. Magari ya Deraya 700 Nani aliyanunua na Kwa dhumuni gani? Oh am sory yalikuwa yamewekwa kwenye Budget tangu awamu ya tatu wewe ulitekeleza tu eh mkuu. so funny!
Alisema pia hamjui mmiliki wa Dowans - wakati alienda hadi ikulu. Alitembelea TZ na kusema hataki kupigwa pichaUlisema Pia, Escrow ni Pesa za Umma.
Alisema Pia hakuamwagiza Lowassa Kushinikiza Richmond
Alisema Pia hajui aliyemteka Ulimboma
Alimpandisha Cheo Kamuhanda baada ya Kumuua Mwangosi
Alisema Pia Familia yake haihusiki na Kusaidia ukwepaji kodi.
Amebakia tu Kusema kuwa, hajawahi Kamwe Kuvaa sare yoyote ya Kijani, Huyu Jamaa sijawahi kuona mnafiki kama yeye. Magari ya Deraya 700 Nani aliyanunua na Kwa dhumuni gani? Oh am sory yalikuwa yamewekwa kwenye Budget tangu awamu ya tatu wewe ulitekeleza tu eh mkuu. so funny!
Huu ni ukweli mtupuDunia nzima imeshuhudia hadi waandishi wa habari wa ndani na nnje wametimuliwa ukumbini!
Alishangaa alipokuwa anaona madini mengiALISEMA PIA HAJUI KWANINI MPAKA LEO TANZANIA NI MASKINI.