Kikwete: Sihusiki Zanzibar

Kikwete: Sihusiki Zanzibar

Hahahahahaaaaa
Kama zire fedha za mmmboga! Tsh. 1,600,000,000 za Escrow na Vile Visent! $ 600,000 za Rada, Kwa Mutu Muzito kama JK, Tsh 4,000,000,000,000 (sifuri zinaniishia) za safari si hera za soda! Nyie watanzani Wehu! Si Ngosha alikuwa anasema kila mahali serikali ya Jakaya Mlisho Kikwete Ni Taaajiri!
 
Ni ukweli ambao hamtaki kuusikia JK ndio aliyemuambia JPM akachukue fomu Pombe mwenyewe akufikiria au na hii unaitaji tochi mkuu? Kwa nini asimuambie Membe? Kama CCM wakimtaka lowasa alipohama chama mbona hawakenda nae Ukawa?
Ubunge Ni ajira, Wangehama halafu waache nafasi zao CCM, There is more involved, we unafikiri mtu hata akikupenda ataacha ajira yake kwa ajili yako, afe njaa!
 
Ubunge Ni ajira, Wangehama halafu waache nafasi zao CCM, There is more involved, we unafikiri mtu hata akikupenda ataacha ajira yake kwa ajili yako, afe njaa!
Kwahiyo wenyeviti wa vyama ni wabunge umevurugwa mkuu.
 
Ubunge Ni ajira, Wangehama halafu waache nafasi zao CCM, There is more involved, we unafikiri mtu hata akikupenda ataacha ajira yake kwa ajili yako, afe njaa!
Kwa hiyo mkuu mapenzi yao yote kwa Lowasa kumbe tatizo ni njaa tu?
 
Ni ukweli ambao hamtaki kuusikia JK ndio aliyemuambia JPM akachukue fomu Pombe mwenyewe akufikiria au na hii unaitaji tochi mkuu? Kwa nini asimuambie Membe? Kama CCM wakimtaka lowasa alipohama chama mbona hawakenda nae Ukawa?

Acha uongo wako.
 
Kwa hiyo mkuu mapenzi yao yote kwa Lowasa kumbe tatizo ni njaa tu?
No Sikiliza Mzee wangu na Hapa Naongea na wewe Kwa Mfano, Ikiwa Unafanya Kazi na Mtu fulani mahaali, Na Ni marafiki sana. Akafanyiwa Fitina, au vitu kama hivyo na ikafika mahali akachoka akasema anaacha kazi, akatafute maisha Kwingine. Mtu Mzima Huwezi Kukurupuka na Kumfuata ukaacha ajira yako. Na hata kama anaenda kuanzisha shughuli mpya kama anaupendo atakuasa uvumilie ulipo na kisha akijipanga vizuri utaungana nae. Hata Umpende mtu namna gani Ni vigumu kumfuata mtu kila afanyalo au aendako. Na nakujibu hili bila siasa wala kebehi yoyote na wewe naamini sio mjinga hata kama hapa hutakubaliana na mimi moyoni unajua nasema kweli.
 
No Sikiliza Mzee wangu na Hapa Naongea na wewe Kwa Mfano, Ikiwa Unafanya Kazi na Mtu fulani mahaali, Na Ni marafiki sana. Akafanyiwa Fitina, au vitu kama hivyo na ikafika mahali akachoka akasema anaacha kazi, akatafute maisha Kwingine. Mtu Mzima Huwezi Kukurupuka na Kumfuata ukaacha ajira yako. Na hata kama anaenda kuanzisha shughuli mpya kama anaupendo atakuasa uvumilie ulipo na kisha akijipanga vizuri utaungana nae. Hata Umpende mtu namna gani Ni vigumu kumfuata mtu kila afanyalo au aendako. Na nakujibu hili bila siasa wala kebehi yoyote na wewe naamini sio mjinga hata kama hapa hutakubaliana na mimi moyoni unajua nasema kweli.
Kwani mkuu akina Msindai mbona walimfuata bila kujari ajira zao iweje wengine wasuende? Kwani Simba na Nchimbi wamebaki na ajira gani CCM?
 
Kuna siku atakubali alihusika na atatubu mbele za Mungu, mwisho wa ubaya wote ni aibu.
 
Kwani mkuu akina Msindai mbona walimfuata bila kujari ajira zao iweje wengine wasuende? Kwani Simba na Nchimbi wamebaki na ajira gani CCM?

Wale walikuwa wastaafu Tayari, Ukiangali waliohama na Lowassa wengi ni Wastaafu na Wezee wenye heshima zao.
 
Back
Top Bottom