Viongozi wa Africa wanamambo sana.
Raid Jonathan wa Nigeria majuzi hapa alifanya safari ya kwenda Brazil kwenye Mkutano wa dunia wa Mazingira, some hours kabla hajaondoka yakatokea mauaji makubwa kwenye mji wa kaduna, huku nyuma watu wakapiga kelele sana na kulaumu sana.
Aliporudi akaitisha press conference na kuelezea kwamba asingeenda BOKO HARAM wangejiona kwamba wanafanikiwa katika kuparalyse serikali yake. Mpaka sasa najiuliza inamaana Jonathan hajui kama serikali yake iko paralysed na BOKO HARAM, lakini angalau yeye alifire waziri wake wa ulinzi pamoja na mshauri wake wa masuala ya ulinzi.
Huyu wetu hata akienda na akarudi akakuta mgomo bado unaendelea, anaweza akaondoka tena kwenda kuhani msiba kwa Kibaki.