rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Rais wa Tanzania atasafiri muda wowote kuhudhuria sherehe inaitwa Canada Day 2012 nchini canada,mawazo yetu wote tunatazama kwa makini kama safari hii ataacha madaktari wamegoma na watanzania wasio na matumaini wakipoteza maisha na kupanda zake ndege kuelekea huko kwa wazungu!