‘Kikwete’s remarks on FDLR shocking’

Matatizo ya Rwanda na Congo yanawahusu wao wenyewe. Yeye ilibidi aongelee masuala yanayomuhusu yeye na nchi yake kama vile kuwapiga mabomu watu wa Mtwara na polisi wa nchi yake kunyanyasa raia wake. Isitoshe, suala la Malawi na Tanzania ilibidi aliweke wazi pia in that meeting kwani linahusu Tanzania moja kwa moja.
 
Wewe Shapu, do you think properly? Mbona hizi incidences mbili hazifanani hata kidogo ndugu yangu?!! Genocide si walianzisha wao wenyewe watutsi..

Museven and Kagame: These two Tutsi-Hima junta military leaders ndiyo kikwazo kikubwa cha amani katika eneo hili la maziwa makuu. Were key figures in plotting and perpetrating 1994 Rwandan genocide wakishirikiana na raisi wa taifa moja kubwa duniani. Lengo lao kuu likiwa ni kufaidi rasilimali zilizopo mashariki mwa DRC. Mkuu wa kwanza wa mahakama ya Kimataifa ya kimbari ya Rwanda (ICTR) katika uchunguzi aliofanya kuhusu chanzo cha Rwandan genocide aligundua kwamba aliyekuwa Rais wa taifa moja kubwa duniani wakati huo walishirikiana na M7 na Kagame kuitungua ndege iliyobeba maraisi wawili wa Rwanda na Burundi na kuwaua huku waki-underestimate idadi ya watu ipatayo 50,0000 (elfu hamsini tu) watakao kufa kutokana na ulipizaji kisasi. Huku wakisema idadi hiyo ni reasonable na jambo la kawaida la number ya watu kutolewa kafara linapokuja suala la kutimiza lengo kuu na muhimu. Ili kudhibiti (kuzuia) uchunguzi huo kuendelea na matokeo yake kuwekwa hadharani, raisi wa taifa kubwa alimshinikiza Katibu Mkuu wa Umoja Mataifa Koffi Annan kumuondoa raisi wa ICTR kwenye wadhifa wake na vile vile kupiga stop uchunguzi huo. Kuanzisha mauaji ya Rwanda ilikuwa ni siri ya wachache ndani na nje ya RPF hivyo ili kuzuia uvujaji wa siri hiyo baada ya kuanza kwa uchunguzi wa chanzo cha mauaji hayo na mkuu wa ICTR na baadaye kuachishwa kazi na Koffi Annan, raisi wa taifa kubwa alimlazimsha Kagame kuhakikisha kuua kila mtu ndani ya RPF anayejua siri hiyo. Ndiyo sababu ya mauaji ya waliokuwa washirika wa karibu wa Kagame waliokimbilia nje ya nchi (mfano Seth Sendashonga) na wengine kunusurika (mfano Jenerali Kayumba Nyamwasa). Pia kilichomponza mkuu wa kwanza wa ICTR kuondolewa ilikuwa ni nia yake ya kutaka kumfungulia mashitaka raisi Kagame na washirika wake katika kuhusika na Rwandan genocide. Sasa jiulize kwa nini wanatoka povu jingi wanapoambiwa ukweli wa-negotiate na FDLR? Ni kwa sababu truce itafikiwa kwanza kwa kuwekwa wazi chanzo cha genocide, sasa Kagame hapo anaona hawezi kuchomoka! Kagame hataki ukweli ujulikane! Kwakuwa Kagame alisababisha kutokea kwa genocide na interahamwe nao waliua watu kwa hiyo wote ni wahalifu hivyo wote wakae chini wazungumze wamalize tofauti zao kwa kusameheana kisha wajenge nchi yao na ndiyo maana raisi JK kamwambia wazi Kagame negotiate please na FDLR! Ukweli unauma sana kama kupigwa ngumi ya uso na babamkwe mbele ya kadamnasi. Kagame huo ndiyo ukweli wenyewe ulioambiwa na mkuu mwenzio, ni ushauri wa bure PLEASE NEGOTIATE WITH FDLR!
 

Wewe na Kikwete nani anafahamu zaidi kuhusu mgogoro WA mauaji ya kimbari. Jitizame
 
"These people are too special" if u wanted to use "This" then it should be "This person is so special" or feels special.

Namkumbuka mwalimu wa kiingereza darasa la tatu........ These, Those, This and That!!!!
 
Dialogue ndio mpango mzima katika upatikanaji wa AMANI katika nchi hizi za mziwa makuu.... Mkuu wa Kaya amezungumza bila kumung'unya maneno!

Rwandese should know that compassion is better than anger...Kikwete akiomba msamaha, ajiuzulu hata urais wa TZ.....pumb.avu zao Rwanda is just 26000 sq km compared to 955000 sq km to tz. Haijai hata kwenye kidole cha jk.
 
What would be the end game of negotiations between Kagame and the Interahamwe masalia? Did Kikwete think this through or he is just saying so he may look like an international statesman? Should Museveni also negotiate with Kony? For what purpose?
 
Unajua misconception ni kitu kibaya sana. Hapa naona majority ya comments ni kutoka kwa watu ambao wako ignorant of the facts.

Kwanza rwanda hakuna vita. the last bullet was fired in 1994. Ile nchi has risen from the ashes na sasa imeipita tanzania ambayo for 50+ years ina "amani na utulivu"...Annual Economic growth 8%...kila mwananchi ana bima ya afya...tanzania only 0.005% ya population wana bima ya afya. kule kila mwananchi meaning all hutu and tutsi wamepewa ng'ombe mmoja wa maziwa ambapo ukipata ng'ombe akizaa, unampa jirani yako ndama bure....hii program inalenga sana sana watoto wapate maziwa ili kuondoa magonjwa kama utapiamlo...sasa hivi kesi za malaria zimepungua by 50% kila mwananchi ana sleeping net....nchi nzima watu wana nyumba za mabati serikali imewakopesha wananchi mabati na wanalipa kidogo kidogo...elimu bure....this is just a few of the achievements ambazo sio longo longo....wanasema na wanatekeleza....nadhani nyie wenyewe mnaliona bunge letu hapa na ahadi lukuki lakini impelementation ni zero..bajeti nyingi hapa wana copy na ku paste na kinachonishangaza ni kwamba hata hawafanyi proof reading....unakuta mahesabu yao ni 2+2=5...sasa ndugu zangu tutamsema kagame ni muuaji embu nenda kawaambie wananchi wa huko uone kama hutatolewa nduki kwa sababu ana deliver ahadi zake despite scant resources...

Africa Oye: Kigali the cleanest, safest, fastest and most liveable city in Africa

Kuhusu suala la JK...mie nadhani raisi wetu huyu hajui how sensitive ishu ya FDLR ilivyo kule rwanda...ni kama kuwaambia wayahudi waka negotiate na hittler (if he was alive)...that can't happen...halafu hao FDLR wana $5m on their head....nani atathubutu kujitokeza...mimi nitakuwa wa kwanza kuwakamata nilambe hizo hela..

Kwa wale ambao walikuwa hawajazaliwa in 1994, hebu angalieni hii video hapo chini ya hao FDLR..na ninaomba uiangalie yote halafu uniambie kama unaweza kukaa na hao watu walioshika mapanga na silaha zingine...

Rwanda murders - YouTube


LETS BE REALISTIC HERE.
 
Wewe mamuluki umetokea wapi? Wewe siyo mtanzania kiswahili chako kiko too formal. Rwanda hawajambo?
 
Du mkuu, ebu sugua ubongo wako. Maswala ya congo yanaiaffect Tanzania. Wakipigana Tanzania inapokea wakimbizi ambao wanahatarisha amani ya nchi. Hivyo Tanzania inahaki ya kuongelea maswala ya nchi za maziwa makuu.
 

u cnt compare rwanda kwa tanzania hata chembe kwasababu geographically ni ndogo kuliko mkoa mmoja tu wa kagera so facts zako za kiuchumi na kijamii hazina mashiko rem tz s 2nd kiuchumi eac baada ya ke.
Then huwajui hawa wanyarwanda hasa watutsi wanadharau,viburi na majivuno ndo maana kamwanamke kameropoka bila kutumia akili big up kwa jk na membe kwa kuwaambia ukweli kagame aache udikteta na kuwe na demokrasia ya kweli rwanda na kuleta amani ya kweli rwanda cuz the truth tutsi n hutus hawapendani sema tu ubabe wa kagame wahutu wamekosa nguvu.
ushauri wa tz ni mzuri cuz itazuia machafuko bdae. unfortunately watu wanaisifia rwanda bt they knw very little abt its people hakuna uhuru rwanda
 
 
jk anaropoka na wamemchana vibaya sana....kaonekana empty headed kabisa...obama anakuja si amshauri akae meza moja na al queda

Kigogo....kwa mzalendo wa kweli anajua nini maana ya statement ya Kikwete....! Suala la Rwanda sio la mchezo-mchezo. Ulipoona mwishoni mwa mwaka jana Kikwete akiteua majenerali 30 haikuwa kufurahisha baraza. Hili sio suala la Kikwete wala la CCM, ni suala la JWTZ...! Uamuzi la kwenda Congo ni maamuzi ya wazee wa kazi pale Ngome, na katika all fronts inajulikana ukipambana na M23 (majina yatabadilika lakini wapiganaji wake ni walewale) unapambana na Rwanda.
 

Hongera naona umebadilika kimsimamo since I challenged you on one thread uliopokuwa ukim-defend Kagame na kuwalaumu FDLR......! Amani ya Congo inahitaji mazungumzo baina ya serikali husika na all negative forces...! Kama M23 wanahitaji mazungumzo na Serikali ya Congo, similarly serikali ya Rwanda inahitaji mazungumzo na waasi....! Kusema kuwa all FDLR fighters ni genocidaire sio kweli.....wengi wa wapiganaji wake wamekuwa recruited ukimbizini. Bila kufungua political front ya kuruhusu mazungumzo mtutu wa bunduki hauwezi kumaliza vita ya Congo, na pia haiwezekani kuiachia Rwanda kuendelea kufanya fujo Congo kwa kisingizio cha FDLR...!
 

so ameteuwa majenerari wengi ili ku replace watakaokufa vitani
 

safi sana wengine wanasoma kwetu hapa na kufanya kazi hapa halafu wanatukana kwamba sisi ni wapumbafu! hawa jamaa ni binadamu wa ajabu sana wanatamni tuwaite wao ni wazungu! yaani wabelgiji waliwadanganya sana watusi.
 
tanzania hakuna amani kuna uwoga na upumbafu

kama kuna upumbafu si urudi kwenu rwanda hapa unafanya nini? Au unadhani hatukujui kwa kutumia jina bandia wakati ip adress tunajua na mac adress tunajua na ulipo unajulikana acheni kujifanya mna akili sana wakati hakuna lolote! Unafanya kazi hapa unajifanya unakili sana.
 

i am not sure if you are a real tanzanian!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…