Kikwete: Nimeshindwa Sekta ya Kilimo

Kikwete: Nimeshindwa Sekta ya Kilimo

Mimi nasema nyie waropokaji msingekuwa mnaruhusiwa kuendelea kuchangia. Mambo ya mapenzi yanatoka wapi. Hivi huji kukiri kosa ni uungwana. Mzee JK ameonyesha uungwana kukiri kuwa kwenye kilimo hatujafanya vizuri sana. Au kwa sababu mmezoeamuongo hivyo mngependa Mhe. Rais aongope kuwa kwenye kilimo tuko juu wakati sio. Bravo! Mzee JK

wengi wanapenda kile kibabu kilichoenda ulaya kikatutukanisha kwa wazungu sijui kilikuwa kimekula nini kikasema afrika haina viogozi wenye nia kwa afrika, haina sera, haina mfumo wa uongozi bora, wala haina maendeleo sijui alitaka warudi kutuongoza? au kinajikomba kwa wazungu wakipe hela za kampeini?
 
hakuna sekta aliyofanikiwa ameshindwa kuleta maisha bora akiwa rais hataweza akiwa hana uongozi ametulaghai .tumeghaili, ametufedhehesha ameshindwa secta zote ccm ,haina dhamira ya dhati kuondoa umaskini kwa kuwa inakumbatia wezi na wala rushwa mfumo na mikakati yao ni dhaifu .


kawambie waloenda memukwa ya utawala ulaya baada ya kushindwa kiongoza familia zao.(two wife)
 
we shouldnt equate bumper harvests with lack of hunger. several countries in the middle east that grow almost nothing are hunger free. many european countries import food to satisfy local demands.

when a farmer grows food, he needs to be compensated for the cost he incurred and get a small profit on top.

if a government has no money to buy surplus produce from farmers and redistribute it to those going hungry, then market forces take over and export becomes the only economically sensible option.

those who cant afford to buy food therefore remain hungry no matter how much food the country produces.
Very well said mkuu! Nimesign in ili nikugongee like tu!
 
Huna jipya ndugu yangu zaidi ya kukati na kupesti. Lete hoja yako. Lakini imeonyesha jinsi ulivyomzuri kwenye kudesa. Unadesa hadi jina!
ndiyo hoja yenyewe hiyo; JK kakubali kushindwa, na data za FAO zinaonesha hilo! pole sana, unatia huruma jamani!
 
kawambie waloenda memukwa ya utawala ulaya baada ya kushindwa kiongoza familia zao.(two wife)
mwenyekiti wako amekiri tena kimataifa dunia yote imesikia wewe tu mbumbumbu kiziwi umeshindwa kwa kuwa umekuwa ndondocha wa ccm ama umelogwa
 
Tutafsirie wewe mtaalamu .tuelewe vinginevyo tunawategemea wataalamu kama wewe .tumwagie mama hajat Faiza

Kwa kifupi anaelezea kuwa ameshindwa kubadili mfumo wa kilimo kwa kuufanya uwe wa kisasa zaidi na inahitajika mikopo kwa wakulima na zana za kilimo za kisasa mbazo hatachoka kusimamia hilo hata atakapo maliza muda wake kama Rais.

Hapo inaonesha Kikwete alikuwa analenga kupata vifaa vya kisasa vya kilimo na mikopo kwa wakulima.

Hakuna asiyejuwa kuwa kilimo kimekuwa sana Tanzania wakati wa Kikwete mpaka maghala hayatoshi na kwa mara ya kwanza Tanzania wakati wa Kikwete tunahifadhi ya chakula ya mwaka mmoja na zaidi, lakini yeye anaona hiyo yote bado haitoshi, kuna uwezekano wa kukuwa zaidi ya hapo

Lakini si kama mleta mada anavyosema kuwa kashindwa sekta ya kilimo.
 
Kwa kifupi anaelezea kuwa ameshindwa kubadili mfumo wa kilimo kwa kuufanya uwe wa kisasa zaidi na inahitajika mikopo kwa wakulima na zana za kilimo za kisasa mbazo hatachoka kusimamia hilo hata atakapo maliza muda wake kama Rais.

Hapo inaonesha Kikwete alikuwa analenga kupata vifaa vya kisasa vya kilimo na mikopo kwa wakulima.

Hakuna asiyejuwa kuwa kilimo kimekuwa sana Tanzania wakati wa Kikwete mpaka maghala hayatoshi na kwa mara ya kwanza Tanzania wakati wa Kikwete tunahifadhi ya chakula ya mwaka mmoja na zaidi, lakini yeye anaona hiyo yote bado haitoshi, kuna uwezekano wa kukuwa zaidi ya hapo

Lakini si kama mleta mada anavyosema kuwa kashindwa sekta ya kilimo.
"It is sad that I have failed to change and make the agricultural sector grow and hence many people have continued to be poor," the president admitted. "It is a sector that incorporates many Tanzanians and needs much effort," he acknowledged.

swali: kwani lengo la #KilimoKwanza lilikuwa ni nini? je amelifanikisha?
 
ndiyo hoja yenyewe hiyo; JK kakubali kushindwa, na data za FAO zinaonesha hilo! pole sana, unatia huruma jamani!
Tukutane kwenye uchaguzi mnadi sera zenu nasi tueleze mafanikio yetu tuone nani zaidi
 
Tukutane kwenye uchaguzi mnadi sera zenu nasi tueleze mafanikio yetu tuone nani zaidi
mimi sigombei. hahaha!! kumbe wewe ni mmoja wa watia nia eh! upo nyuma ya JF unabwabwaja tu!
 
"It is sad that I have failed to change and make the agricultural sector grow and hence many people have continued to be poor," the president admitted. "It is a sector that incorporates many Tanzanians and needs much effort," he acknowledged.

swali: kwani lengo la #KilimoKwanza lilikuwa ni nini? je amelifanikisha?

Hiyo ni ku quote out of context hapo baada ya failed kuna neno gani?

Kilimo kwanza kimefanikiwa sana. Lengo la kwanza lilikuwa ni kuhakikisha hafi mtu na njaa. Naam, hakuna aliyeufa na njaa kipindi cha Kikwete na mpaka sasa tuna hifadhi ya chakula ya Taifa kwa mara ya kwanza wakati wa Kikwete iliyotokna na hiyohiyo Kilimo kwanza, kitu ambacho kilikuwa hakuna kabla yake.

Soma vizuri alichosema Kikwete msitake kutpotosha. Kuna wakati kilimo Tanzani hii kimefanikiwa zaidi ya huu wa Kikwete?

Hujawahi kula ugali wa Yanga wewe tena unga unaupata kwa foleni. Usitukumbushe tulikotoka kijana.
 
Dhamira alikuwa nayo. Ila kwa mfumo corrupt kama huu wa kwetu inakuwa ni shida kutimiza mahitaji ya wananchi. Rushwa inakwamisha maendeleo ya nchi nyingimza Afrika. Hiyo inatokea Angola, Malawi, Zambia, Uganda, South Africa nk

hiki ndicho kinachowapa nguvu ukawa• tunahitaji mtu/watu wakubadilisha mfumo huu wa kifisadi hivyo ukawa tutawapa hili jukumu lakuubadili mfumo
 
Hiyo ni ku quote out of context hapo baada ya failed kuna neno gani?

Kilimo kwanza kimefanikiwa sana. Lengo la kwanza lilikuwa ni kuhakikisha hafi mtu na njaa. Naam, hakuna aliyeufa na njaa kipindi cha Kikwete na mpaka sasa tuna hifadhi ya chakula ya Taifa kwa mara ya kwanza wakati wa Kikwete iliyotokna na hiyohiyo Kilimo kwanza, kitu ambacho kilikuwa hakuna kabla yake.

Soma vizuri alichosema Kikwete msitake kutpotosha. Kuna wakati kilimo Tanzani hii kimefanikiwa zaidi ya huu wa Kikwete?

Hujawahi kula ugali wa Yanga wewe tena unga unaupata kwa foleni. Usitukumbushe tulikotoka kijana.
wacha kulia bibi. ameshindwa kubadili sekta ya kilimo na kuifanya ikuwe, hivyo kusababisha watu kuendelea kuwa maskini. hajaongelea suala la njaa, kaongelea suala la umaskini kwa kuwa watanzania wengi wapo sekta ya kilimo! upo? au ndiyo mahaba yamekutia upofu?
 
Kwani Wachina walikosea kumpa uProfessor wa Kilimo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom