Kikwete: Nimeshindwa Sekta ya Kilimo

Kikwete: Nimeshindwa Sekta ya Kilimo

Aatendelea na moyo huo huo wa kukubali kushindwa na Kukabidhi nchi kwa UKAWA, angalau tumepata aueni kwani amekuwa kiona mbali cha CCM.
 
Pole sana rais wetu kikwete. Lakini hongera kwa ujasiri wa kukiri failure kwa sababu itasaidia agenda setting katika eneo hili kwa rais ajaye.

Ndio maana hon. Edward Lowassa yuko sahihi kabisa kusema elimu ndio kitu cha kwanza cha pili na cha tatu katika nchi kabla ya kilimo, ikiwa tunataka kutoka hapa tulipo.

Ukweli ni kwamba tukiwekeza kwenye elimu, tutafanya kila kitu kingine kwa viwango. Kilimo kwanza kiliishia kununua ma vx kwa viongozi na wizi wa kila aina unaoweza kufikiri(in the name of kilimo kwanza).

Elimu ikiwa namba moja, kilimo na viwanda vitakuja. Kadhalika madini, utalii, usalama, nk vitakuja automatically.

Ndio maana namwona Lowassa kama the most relevant candidate for CCM this time around.
 
kukiri huku kwa JK ni sawa na kumuunga mkono Lowassa ambaye katika harakati zake za kuwania kuwa mgombea urais wa CCM ameponda sera za kilimo za serikali ya JK, na kupigia debe sera ya elimu!

wasome pia Lizaboni, FaizaFoxy, gsu, Simiyu Yetu, MUSSA ALLAN na wanaLumumba wote, jinsi viongozi wenu wanavyoweweseka!
 
Last edited by a moderator:
Ameshindwa kila sekta elimu, afya, maji safi, umeme wa uhakika, usafiri wa uhakika na salama, ufisadi, rushwa, uchumi, ajira, deni la Taifa, thamani ya shilingi, Matanuzi ndani ya Ikulu na Serikali kwa ujumla, kutetea maslahi ya Tanzania na Watanzani n.k. Hakustahili kuiongoza Tanzania huyu.
 
Kikwete anaondoka, Jadilini Rais ajae aweje Mimi bado sijamuona Rais kote CCM au UKAWA
 
Nasikia jk anafanya jitihada kuonana na raisi wetu mtarajiwa aliye safarini ulaya

habari zinadai kuwa hii ndo nafasi adhimu aliyonayo jk kubahatisha kumwona the next presidaa kabla ya kufungasha virago pale magogoni,

, kwa wasio na taarifa ni kuwa raisi mtarajiwa yuko ulaya kuonanana wakuu wa EU kuweka mambo sawa kabla ya kuingia magogoni
 
Angewezaje kukuza kilimo wakati kila kukicha yuko kwenye ungo ugaibuni? Atuambie pia kuhusu mabilioni ya jk yaliyopigwa juu kwa juu.akiri pia maisha bora kwa watanzania yameshindikana!
 
Watu wamenunua ma VX
Dhamira alikuwa nayo. Ila kwa mfumo corrupt kama huu wa kwetu inakuwa ni shida kutimiza mahitaji ya wananchi. Rushwa inakwamisha maendeleo ya nchi nyingimza Afrika. Hiyo inatokea Angola, Malawi, Zambia, Uganda, South Africa nk
tuuuuu
 
Ameshindwa kila sekta elimu, afya, maji safi, umeme wa uhakika, usafiri wa uhakika na salama, ufisadi, rushwa, uchumi, ajira, deni la Taifa, thamani ya shilingi, Matanuzi ndani ya Ikulu na Serikali kwa ujumla, kutetea maslahi ya Tanzania na Watanzani n.k. Hakustahili kuiongoza Tanzania huyu.

Hata malaika akishuka na akaongoza Tanzania kupitia CCM lazima tu atachemka
 
Really!? Mfumo corrupt yeye kama Rais alifanya lipi ili kupambana na mfumo uliojaa rushwa ili aundoe!? Rushwa mpaka ndani ya Ikulu na Bunge, Serikali yote inanuka rushwa halafu unasema eti alikuwa ana dhamira!!! Dhamira yake ilikuwa ni kukaa kimya ili wasiyaanike madudu aliyoyafanya 2005 na ile timu yake ya mtandao kutumia rushwa ya mabilioni ili aingie Ikulu.

Dhamira alikuwa nayo. Ila kwa mfumo corrupt kama huu wa kwetu inakuwa ni shida kutimiza mahitaji ya wananchi. Rushwa inakwamisha maendeleo ya nchi nyingimza Afrika. Hiyo inatokea Angola, Malawi, Zambia, Uganda, South Africa nk
 
Imagine kama kila aliyetangaza nia angefanya yale anayoahidi katika nafasi alizokuwa nazo kwa miaka yote waliyokuwa madarakani wengine zaidi ya miaka ishirini, Tanzania ingekuwa wapi. Na mmoja wao akipata hiyo nafasi excuses zitafuata.
Na hawa wanaoahidi sasahivi ni waungwana pia

Na watakuja kufanya uungwana baada ya kushindwa kwa miaka mingine kumi...watasema tumefeli
 
idoyo

Hizi Takwimu za FAO zina mashaka. Kenya wanaomba chakula kwetu na sisi tunazalisha chakula kingi kuliko mahitaji ya nchi.

Ni kweli sisi tunazalisha kuliko Kenya usisahau wao wanavyo viwanda zaidi yetu. Processed packed food products zinarudi kwetu kwa bei ya juu. Kenya ipo juu katika industry ya food nutrients kuliko sisi. Tukubali tujifunze na tuache maneno mingi.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani watafute rangi nyingine na sio kijani. Nyeusi ingependeza sana😱
 
we shouldnt equate bumper harvests with lack of hunger. several countries in the middle east that grow almost nothing are hunger free. many european countries import food to satisfy local demands.

when a farmer grows food, he needs to be compensated for the cost he incurred and get a small profit on top.

if a government has no money to buy surplus produce from farmers and redistribute it to those going hungry, then market forces take over and export becomes the only economically sensible option.

those who cant afford to buy food therefore remain hungry no matter how much food the country produces.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom