Kikwete: Nimeshindwa Sekta ya Kilimo

Kikwete: Nimeshindwa Sekta ya Kilimo

Ile sera ya "kilimo kwanza" imegeuka na kua "kilimo mwisho" watz wamekua kama mapimbi vle! Wanakubal kulishwa unga wa ndele!
 
Dhamira alikuwa nayo. Ila kwa mfumo corrupt kama huu wa kwetu inakuwa ni shida kutimiza mahitaji ya wananchi. Rushwa inakwamisha maendeleo ya nchi nyingimza Afrika. Hiyo inatokea Angola, Malawi, Zambia, Uganda, South Africa nk

Apokonye PHD aliyopewa kwa Wachina wakisema ameboost Kilimo kumbe mwenyewe kakiri ameshindwa. Ukiangalia mikoa mingi ya Kati njaa ni kubwa, kaskazini ndo kilia na baadhi kanda ya ziwa. Hii imepelekea iflation rate kupaa hasa mikoa tajwa kwenye vyakula vya aina zote. Kwa PHD yake alopewa na uhalisia wa kilimo vs kauli yake ya kushindwa, Anyang'anye PHD ya Wachina.
 
Sasa hivi wanatoa ahadi kibao lakini baada ya miaka kumi wanasema wameshindwa.!
Tanzania bhana!
 
Unajua kuna maneno unayasikia u nashindwa kujua yanaongelewa na rais wa nchi au rais wa chuo! Sasa mtu ambae amesomea digrii ya uchumi wa kilimo na ni rais analalamika hivyo, alitaka nani afanye hivyo? Halaf cha kushangaza hawa ccm wakiwa wanaondoka madarakani ndo wanasema hivyo. Na mkapa nae alisema hivyo hivyo! Hiki chama inabidi kiondoke
 
we shouldnt equate bumper harvests with lack of hunger. several countries in the middle east that grow almost nothing are hunger free. many european countries import food to satisfy local demands.

when a farmer grows food, he needs to be compensated for the cost he incurred and get a small profit on top.

if a government has no money to buy surplus produce from farmers and redistribute it to those going hungry, then market forces take over and export becomes the only economically sensible option.

those who cant afford to buy food therefore remain hungry no matter how much food the country produces.


UNAFIKIRI WATAKUELEWA HAWA WALIOKOSA ELIMU?

Baelezee bashenzi hawa!
 
JK umeshindwa kwenye kila jambo sio tu kwenye kilimo
 
Sidhani kama upo sahihi kusema kuwa ameliangamiza taifa. Ila nadhani hajafikia malengo yake ipasavyo. Alifanya jitihada nyingi ila ilikuwa inaonekana ni kama yupo peke yake. Matrekta mengi yameletwa na watu wameshindwa kuyasimamia


Dont worry Mr presidency so longer as you have honoured as professor in Agriculture by Republic of China
 
Haha Huyu jamaa JK, alikosa kitu kinaitwa autonomy.. The man has no power or last say to some serious issues that touches majority. He has nothing to loose, after all he has tested the Heaven. Im afraid of time and moods of majority of Tanzanians will not come to true change till we're at the edge of death. Many people in Our today Tz do not understand till now what sot of challenges ar currently facng our country and issue of Presidencial election is just like a cartoon move. Du kwa tz yetu hii tutasubili saana, kwasababu hata hawa wapinzan tunao watarajia kuleta mapinduz (ukawa) wengi wao wako Mijini na baadhi tu ya Mikoa. huku vjjn ambako kuna wapga kura wengi n CCM tu. Sasa kwa nn ccm isiendelee kusumbua? Vijana wa kitanzania ni lazma tufike wakati tuseme sasa basi, hata kama hatuna ajira lakn barabara ikiwa nzur ajira zitapatkana, huduma za afya zikiboreshwa sambamba na kuzuia mianya ya ufisadi tunaweza kupiga hatua mbele. Kimsingi hakuna rais au chama kinachoweza kuwa safi kwa 100%, LAKN walau kiwe na udhibiti wa mali ya umma hata kwa 60% tu itasaidia. Du! Haya bana
 
Nashangaa kwanini hawa CCM wachaache waliobakia hawajawasoma tu hawa wajamaa. Au kule kufikiri kwa kutumia matumbo?

ukiiitaji tumbo lishibe hauitaji kufikiri sana!!! maaana pesa wanatoa sana!!! ila vijijini wanatuletea chumvi ya mia mbili na sabuni!!!
 
Amefanya kwa kiwango alichoweza kufanya,na ndo maana tunawachangua wengine waendeleze pale alipofikia ,angemaliza tungechangua wengine wa nini?mungu akupe afya njema rais wetu.
 
Wao ninyoka wenye makengeza!!! waliwapiga kamba wabongo oooh!!maisha bora kwa kila MTZ haya nionyesheni wadau!!! thamani ya shilingi inapolomoka kila uchao...kweli makengeza mtatuua.

ilidondoka dora ya marekani lkn wamarekani wote kwa pamoja wakashikamana si democratic wa republic na wananchi wote wakainyanyua tena, lkn sisi tunachofanya ni lawama zisizo na maana ndo maana nasema kuwa sijamuona mzarendo ktk hili.
 
At least amekubali mapungufu

Lakini haitakiwi kuishia hapo

Kuna mabilioni mengi sana yameibiwa kwa mgongo wa kukuza kilimo...mfano ile kampeni ya kilimo kwanza

Tunahitaji kupata mrejesho

Haiwezekani watu watumie madaraka vibaya alafu waachwe tu...They must be held accountable
Na wewe umetokea wapi ndugu yangu ni kama umekurupushwa na takwimu zako ambazo sijui umezipata wapi. Tulia jenga uchumi wa nchi yako na usikurupuke na maneno ya vijiweni. Umesikia?
 
Tutafsirie wewe mtaalamu .tuelewe vinginevyo tunawategemea wataalamu kama wewe .tumwagie mama hajat Faiza
hahaha!! FaizaFoxy kaona aibu kwa JK kukiri kushindwa. amekuwa akimsifia-sifia hovyo tu akasahau ya kwamba 'every man has a breaking point'. yani anampenda JK kuliko mume wake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom