swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,663
- 19,906
Kenge ndo wewe na hayo MAUKAWA yako nimeeleza uhalisia. Tanzania tunazalisha chakula cha kutosha mpaka tunasafirisha nje ya nchi. Utatulinganishaje na hawa wakenya ambao hawana hata ardhi ya kutosha?
Wewe buku saba ngoja nikupe mfumo wa chakula haitegemei unazalisha au hauzalishi na kumbumba kenya nao hutoa msaada wa chakula somaria wakati huo kenya huomba chakula kutoka tanzania.nenda tu huko katafute buku 7 hili swala tuachie sisi tuliokwenda shule.buku 7.
Swissme