geophysics
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 904
- 166
Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi,Muhimbili Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi akimtunukia Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete Digrii ya Heshima ya Udaktari wa Afya ya Jamii(Doctor of Public Health,Honoris Causa) wakati wa mahafali ya nne ya Chuo hicho iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto akiangalia ni Makamu Mkuu wa Chuo Profesa Kisali Pallangyo....... Mwananyamala, Amana na Temeke watu wanakufa kwa kukosa dawa.... Malaria inaua watu mara tatu zaidi katika uongozi wa awamu ya nne ya uongozi...kipindu pindu kila mwaka..... Vyoo vya shimo karibu kila mahali, mifereji ya maji machafu inafurika hadi City center.... Muhimbili maiti zinaozea vitandani kama sio mortually.... Kweli hii shahada ya udaktari aliyepewa anastahili kwa wakati huu??