Kikwete, Muhongo ni bomu litakulipukia

Kikwete, Muhongo ni bomu litakulipukia

Uzalendo wa aina yako nimeupenda.Tanzania mpya naiona hiyoo Asadsyria3,kuna jamaa zako naona nao wamekuunga mkono.Hiyo ni ishara ya kupevuka kisiasa.Tuuondoe huu mfumo wa Ufisadi,then tujipange kuitengeneza Tanzania tuifikiriayo.Siyo kutetea kila jambo hata kama lina madhara kwa nchi
 
Last edited by a moderator:
Tuache kumungunya maneno,atamtosaje Muhongo wakati walishirikiana?
 
Mamndenyi mwanae alipigwa chini mkopo ndio akili ikarudi
Nakushukuru mkuu, kwa kunifafanulia sababu za mama Mamndenyi kuamua kurudi kundini.

Kumbe aligundua kuwa, magamba wanaposema CCM ina wenyewe na wenyewe ndiyo sisi, ina tafsiri pana zaidi.

Tafsiri yake tumeipata wakati wa skandali ya Escrow, 'wenyewe' ndiyo waliorushiana mabilioni kwenye akaunti zao pale Mkombozi bank, na 'wenyewe' tena ndiyo waliobeba yale mabilioni pale Stanbic, kwenye viroba, masandarusi na kwenye magunia ya lumbesa!

Kumbe wale mamilioni ya wanachama wengine 'watiifu' role yao kubwa ni kufanywa mabango ya matangazo, kwa kuvalishwa fulana, khanga na kofia za chama chao, bila kuambulia chochote, wakati wenyewe wenye hati miliki ya chama chao wanaendelea 'kuzitafuna' rasilimali za nchi hii bila huruma, wakati wanachama 'watiifu' kama akina Mamndenyi, hata kitu kidogo kama mikopo ya elimu ya juu kwa watoto wao,ambayo ni haki yao, nayo wananyimwa na serikali 'sikivu' ya magamba!

Na jinsi tunavyouendea uchaguzi mkuu mwaka huu, mamilioni wengine ya wanachama 'watiifu' wa chama cha kijani, wataendelea kujitambua, na wataendelea kukitosa chama chao cha magamba.
 
Last edited by a moderator:
Amtose muhongo kwa sababu zipi?umbea na chuki binafsi?

Rais haongozi nchi kwa mawazo ya watu wa social media. Anafuata kanuni na sheria zinasemaje.

Jamii forum ina watu laki 2,wanaosema hawamtaki muhongo hata elfu 2 hawafiki,na hawatoi sababu kwa nini atolewe au makosa yake ni yapi,eti hao ndio rais afuate ushauri wao.

Nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria,sio social media.
 
Rais Kikwete ni kiongozi mzuri tatizo washauri na wapambe waliomzunguka wanampotosha.

Nikianza na mada ya maazimio ya binge ni hatari kudhani ni upepo tu yatapita.

Hili suala ni zito na kama rais huwa unatembelea social media tambua unapaswa kumtoa waziri Muhongo. Kumlinda ama kumtetea ni Bomu unalolipanda mwenyewe, siku likilipuka litakuabisha sana mh. rais.

Angalizo;
Mh. Nape Jana alishauri wahusika wachukue hatua sakata la escrow kabla halijapoa.

Mh. Ole Sendeka amedai kupeleka hoja binafsi,mh. Kafulila pia alisema.

Ni aibu serikali kupigiwa kura ya kutokua na imani na waziri mkuu kuanguka.

Mh. rais fungua macho uone.

Argue don't shout!!!!

Kweli nimeamini saa ya ukombozi yaja!!!!! Leo Assadsyria unaandika haya! Au kuna mtu kaiba ID yako?
 
Kweli nimeamini saa ya ukombozi yaja!!!!! Leo Assadsyria unaandika haya! Au kuna mtu kaiba ID yako?

mkuu kwan VP mm nimemquote nape na ole sendeka wakisisitiza kuhusu kuchukuliwa hstuaww unashangaa nn
 
mkuu kwan VP mm nimemquote nape na ole sendeka wakisisitiza kuhusu kuchukuliwa hstuaww unashangaa nn

Hata preamble ya thread yako unanekana ka umekuwa wakili mzuri a yaliysemwa n Nape a Olesekndeka tofautina tunavyokufahamu. Wewe ni mmoja kati ya waumini wa mafisadi na viongozi wazembe kama JK na genge lake.
 
Kumbe siku moja moja, na wewe assadsyria3, unajuaga kutoa hoja za msingi zenye maslahi ya Taifa?!

Miongoni mwa post chache sana, ulizowahi kuzitoa humu JF zenye maslahi ya Taifa, hii itakuwa mojawapo.

Kwa post hii, unadeserve hata kupata LİKE yangu!

Hata hivyo kwa post yako ya leo, usitarajie kupewa LİKES kutoka kwa 'members' wa Group lako,kama akina Simiyu yetu, msalani, FaizaFoxy na wengineo wa ile timu ya 'green' lakini usijali kwa kuwa utazivuna LİKES nyingi sana kutoka 'kundi' la upande wa pili!

Mkuu huyu akili zimeanza kurudi baada ya kuona ACT inakufa mbele ya macho yake kabla ZZK hajakalia kiti.
 
Kwani muhongo kosa lake liko wapi mafisadi kawabana sasa mnahangaika pakutokea hamuoni mujongo kawanyima raha mafisadi kwa kuzuia wizi pale tanesco na wizara ya nishati na madini sasa mnasumbuka.
haa haa bado unafanyia kazi majungu? Muhongo ana makosa mengi kuliko hata tibaijuka.
 
Jk amedhalilisha taasisi ya urais, pia amekipotezea imani chama chake mbele ya watanzania! Watanzania wengi wa mtaani wanaamia mgao wa escrow umeingia mpaka ikulu ndo maana rais ameshindwa kuchukua hatua madhubuti.
 
Rais Kikwete ni kiongozi mzuri tatizo washauri na wapambe waliomzunguka wanampotosha.

Nikianza na mada ya maazimio ya binge ni hatari kudhani ni upepo tu yatapita.

Hili suala ni zito na kama rais huwa unatembelea social media tambua unapaswa kumtoa waziri Muhongo. Kumlinda ama kumtetea ni Bomu unalolipanda mwenyewe, siku likilipuka litakuabisha sana mh. rais.

Angalizo;
Mh. Nape Jana alishauri wahusika wachukue hatua sakata la escrow kabla halijapoa.

Mh. Ole Sendeka amedai kupeleka hoja binafsi,mh. Kafulila pia alisema.

Ni aibu serikali kupigiwa kura ya kutokua na imani na waziri mkuu kuanguka.

Mh. rais fungua macho uone.

Argue don't shout!!!!

Yakija mazombie menzio yatasema umetumwa na Mchaga Reginald Mengi kwa sababu tu alisema wazawa wapewe kipaumbele kwenye vitalu vya gesi.
 
Kikwete kwa kuyapuuza mawazo yatu kina gogo la shamba hana namna ya kuepuka haibu yeye na familia yake yote, tulishasema kwa kuyazarau mawazo ya kina gogo la shamba mwisho wa kikwete na baadhi ya viongozi wa serikali hii ya ccm haitakuwa tofauti na gadafi au Saddam Hussein.
 
Muhongo ni mchapakazi shida ni kuwa anaponzwa na wachini yake huu ndo ukweli, ndo maana hata Mh. Rais anapata kigugumizi kumuondoa.
 
Eti "Rais Kikwete ni kiongozi mzuri tatizo washauri na wapambe waliomzunguka wanampotosha"
Ndio kivuli cha with wasiofikiria. JK in kiongozi mbovu na anawaharibia viongozi engine. E.g werema aliambiwa toka magogoni aseme pesa ichukuliwe toka escrow bila kodi
 
Amtose muhongo kwa sababu zipi?umbea na chuki binafsi?

Rais haongozi nchi kwa mawazo ya watu wa social media. Anafuata kanuni na sheria zinasemaje.

Jamii forum ina watu laki 2,wanaosema hawamtaki muhongo hata elfu 2 hawafiki,na hawatoi sababu kwa nini atolewe au makosa yake ni yapi,eti hao ndio rais afuate ushauri wao.

Nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria,sio social media.

Kwahiyo TAKUKURU,PAC,Kamati ya bunge na bunge lote hawajui sheria? think twice broo
 
Rais Kikwete ni kiongozi mzuri tatizo washauri na wapambe waliomzunguka wanampotosha.

Nikianza na mada ya maazimio ya binge ni hatari kudhani ni upepo tu yatapita.

Hili suala ni zito na kama rais huwa unatembelea social media tambua unapaswa kumtoa waziri Muhongo. Kumlinda ama kumtetea ni Bomu unalolipanda mwenyewe, siku likilipuka litakuabisha sana mh. rais.

Angalizo;
Mh. Nape Jana alishauri wahusika wachukue hatua sakata la escrow kabla halijapoa.

Mh. Ole Sendeka amedai kupeleka hoja binafsi,mh. Kafulila pia alisema.

Ni aibu serikali kupigiwa kura ya kutokua na imani na waziri mkuu kuanguka.

Mh. rais fungua macho uone.

Argue don't shout!!!!

Napinga Hoja kwamba prof chikwete ni rais mzuri ila washauri wake ndio wabaya! namna ya kumjua kiongozi mzr ni kuangalia wanaomzunguka, hyo kanuni ichukue itakusaidia kujua hulka za viongoz wako kutoka ngazi ya vitongoj mpaka taifa
 
Back
Top Bottom