Kikwete, Muhongo ni bomu litakulipukia

Kikwete, Muhongo ni bomu litakulipukia

Muhongo ana siri nzito jaman, tafazali msimsukume rais ampige chini muhongo, muhongo naye akiamua kumwaga mboga unafkr itakuaje? muhongo co kama mama tiba, huyu ni jasiri unaweza kukuta anaongeza orodha ya wanaufaika wa escrow!!! hapo sasa ndipo mtajua anamaanisha nin kusema nchi itatikisika
 
naskia muhongo ana siri kubwa za hii ishu na uhusika wote wa wakuu na familia zao. so ni vigumu kumtoa manake ataropoka c mnajua tena wenzetu akina muraa hawana mambo ya kufichaficha
 
Amtose muhongo kwa sababu zipi?umbea na chuki binafsi?

Rais haongozi nchi kwa mawazo ya watu wa social media. Anafuata kanuni na sheria zinasemaje.

Jamii forum ina watu laki 2,wanaosema hawamtaki muhongo hata elfu 2 hawafiki,na hawatoi sababu kwa nini atolewe au makosa yake ni yapi,eti hao ndio rais afuate ushauri wao.

Nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria,sio social media.

Kwahiyo TAKUKURU,CAG,Kamati ya bunge na bunge hwajui sheria?thinks twice
 
Kuna watu wamelishwa sumu na CCM kuhusu suala la Muhogo wanadiriki kusadikish watu wote kuwa ugomvi wa Muhongo na Mengi ndio chanzo cha skendo ya Escrow. Mwenye akili finyu ndiye atakaesadiki propaganda hizi chafu kama wafanyavyo vijana wngi wasiojitambua kutoka CCM. Suala la Escrow litaiangusha serikali yote ya CCM wakiendelea kupuuza kwa kumlinda muhongo kwa kisingizio eti ana "perform" vizuri hivyo maadui wake hawamtaki. propaganda chafu! maadui zake ndo walimtuma atetee kampuni feki ya PAP kuchotewa fedha za umma? hapo mmenoa na itakula kwenu.

kwenye ufisadi wa ESCROW watanzania tunasema aluta continua!
 
Amtose muhongo kwa sababu zipi?umbea na chuki binafsi?

Rais haongozi nchi kwa mawazo ya watu wa social media. Anafuata kanuni na sheria zinasemaje.

Jamii forum ina watu laki 2,wanaosema hawamtaki muhongo hata elfu 2 hawafiki,na hawatoi sababu kwa nini atolewe au makosa yake ni yapi,eti hao ndio rais afuate ushauri wao.

Nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria,sio social media.

Waliosema Muhongo atoswe ni Bunge sio social media.Acheni kumdanganya ili muendeleze wizi.
 
Kitu kinacho nishangaza ni kwamba' Rais wetu na viongozi wengine bado hawajajua kusoma alama za nyakati na ndiyo maana hata wanashindwa kuona yote Waajiri wao means'wananchi tunataka'
Vivyo hivyo hata kuona utofauti Kati ya Jana na Leo'
Wafanye watakavyo kwa hichi kipindi maana wenyewe ndiyo waliyoshikilia mpini,ila wakukumbuke yakuwa' HATA USIKU UKIWA MREFU KIASI GANI LAZIMA KUTAKUCHA"
Heshima kwenu wapendwa.
 
Hapa kuna namna haiwekani waziri wa ardhi aachie ngazi lakini mhusika mwenyewe aendelee kupeta. kuna siri nzito imejificha kwenye hii skendo ya escrow ni suala la muda tu.
 
Naona anawaamini wanaoona Muhongo anafitiniwa na Machache
 
Waliosema Muhongo atoswe ni Bunge sio social media.Acheni kumdanganya ili muendeleze wizi.

Bunge lilisema vile kwa kua waliamini kua pesa zile ni za umma,Kikwete kashasema sio za umma sasa Muhongo anag'oka kwa lipi?
 
Kwahiyo TAKUKURU,CAG,Kamati ya bunge na bunge hwajui sheria?thinks twice

Ni ukurasa wa ngapi wa ripoti ya takukuru au cag walisema muhongo ang'oke?

Kamati ya bunge ipi,ya kina filikunjombe na zitto?waliohongwa pesa na wafanya biashara wamfitini muhongo ili atoke pale wapewe vitalu?

Leta grounds nyingine za kumtaka muhongo ang'oke ila kama ni pesa za escrow Kikwete kashasema sio za umma sasa mnataka muhongo atoke kwa lipi?
 
Ni ukurasa wa ngapi wa ripoti ya takukuru au cag walisema muhongo ang'oke?

Kamati ya bunge ipi,ya kina filikunjombe na zitto?waliohongwa pesa na wafanya biashara wamfitini muhongo ili atoke pale wapewe vitalu?

Leta grounds nyingine za kumtaka muhongo ang'oke ila kama ni pesa za escrow Kikwete kashasema sio za umma sasa mnataka muhongo atoke kwa lipi?

Kwanini Tibaijuka ametoka na AG amejiuzulu kama pesa ni za umma?
 
Kwanini Tibaijuka ametoka na AG amejiuzulu kama pesa ni za umma?

Basi inaonekana hujui hata unachoshabikia.

Tiba amewajibiswa kwa sababu ni mtumishi wa umma na alipokea pesa/zawadi na hakutangaza. kanuni za maaadili ya utumishi wa umma zinatamka mtumishi wa umma akipokea zawadi au pesa kiwango chochote azitangaze,yeye hakufanya hivyo. Hilo ndio kosa lake.

AG alijiuzulu baada ya ushauri wake kueleweka tofauti.

Sasa mnataka muhongo aondoke kwa lipi?
 
Basi inaonekana hujui hata unachoshabikia.

Tiba amewajibiswa kwa sababu ni mtumishi wa umma na alipokea pesa/zawadi na hakutangaza. kanuni za maaadili ya utumishi wa umma zinatamka mtumishi wa umma akipokea zawadi au pesa kiwango chochote azitangaze,yeye hakufanya hivyo. Hilo ndio kosa lake.

AG alijiuzulu baada ya ushauri wake kueleweka tofauti.

Sasa mnataka muhongo aondoke kwa lipi?

Prof Muhongo achana kabisa na hizi porojo zetu.wa tz tunafurahia watu wakidondoka.Wewe turudishie umeme maana tanesco wametukatia wilaya ya Ilala.eti manyunyu yamezidi.wana ku saboteji
 
Amtose muhongo kwa sababu zipi?umbea na chuki binafsi?

Rais haongozi nchi kwa mawazo ya watu wa social media. Anafuata kanuni na sheria zinasemaje.

Jamii forum ina watu laki 2,wanaosema hawamtaki muhongo hata elfu 2 hawafiki,na hawatoi sababu kwa nini atolewe au makosa yake ni yapi,eti hao ndio rais afuate ushauri wao.

Nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria,sio social media.

Hivi unaposema nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria, unajua maana yake au umeropoka tuu!!!? Kwenye hii scandal ya ESCROW, raisi kama mamlaka ya uteuzi amekiuka kanuni kwa kushindwa kuwawajibisha aliowapa madaraka!
Halafu unaposema swala la media, napata shida juu ya ufaham wako. Swala la ESCROW limeibuliwa bungeni, ndipo media zikatufikishia taarifa. Nikueleweshe jambo moja; ofisi ya CAG, TAKUKURU na PAC, walifanya kazi kwa mujibu wa kanuni na wakadhibitisha makosa yaliyotokea na waliosababisha hayo makosa! Sasa raisi anapata kigugumizi gani kumwajibisha Muhongo!?
Msitufanye sisi ni wajinga kiasi hicho mkuu.!
Maajabu ya Musa ni pale alipomfukuza kazi Tibaijuka kwa kosa la kukiuka maadili....! Wakati huo huo raisi anadai fedha iliyochotwa ESCROW si za umma, swali linakuja kama sio za umma, AG na Tibaijuka wanakosa gani, kama pesa zilikua za watu binafsi?!
Nikupe mfano kidogo. Kuku imeibwa mahali kwa mfugaji, wewe unakuja kupewa paja ukala. Mwisho wa siku unaadhibiwa kwa kukubali kula paja ili hali alieiba kuku anaachwa na anaonekana hana hatia...!!!! This is nonsense...!
 
Basi inaonekana hujui hata unachoshabikia.

Tiba amewajibiswa kwa sababu ni mtumishi wa umma na alipokea pesa/zawadi na hakutangaza. kanuni za maaadili ya utumishi wa umma zinatamka mtumishi wa umma akipokea zawadi au pesa kiwango chochote azitangaze,yeye hakufanya hivyo. Hilo ndio kosa lake.

AG alijiuzulu baada ya ushauri wake kueleweka tofauti.

Sasa mnataka muhongo aondoke kwa lipi?

Bila shaka wewe ndo umekalili maisha hii issue ya escrow ni ufisadu hata Jk anajua na Muhongo kama waziri mwenye dhamana anapaswa kuwajibika ila kwa maslahi ya chama utatetea tu.
We huoni le profeseri anavyopata wakati mgumu? Acha kutetea posho mkuu
 
Bila shaka wewe ndo umekalili maisha hii issue ya escrow ni ufisadu hata Jk anajua na Muhongo kama waziri mwenye dhamana anapaswa kuwajibika ila kwa maslahi ya chama utatetea tu.
We huoni le profeseri anavyopata wakati mgumu? Acha kutetea posho mkuu

Acha porojo,jibu hoja anawajibika kwa lipi?

SABABU ZIPI ZINAMTAKA MUHONGO KUWAJIBIKA? MBONA HAMZITAJI?
 
Hivi unaposema nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria, unajua maana yake au umeropoka tuu!!!? Kwenye hii scandal ya ESCROW, raisi kama mamlaka ya uteuzi amekiuka kanuni kwa kushindwa kuwawajibisha aliowapa madaraka!
Halafu unaposema swala la media, napata shida juu ya ufaham wako. Swala la ESCROW limeibuliwa bungeni, ndipo media zikatufikishia taarifa. Nikueleweshe jambo moja; ofisi ya CAG, TAKUKURU na PAC, walifanya kazi kwa mujibu wa kanuni na wakadhibitisha makosa yaliyotokea na waliosababisha hayo makosa! Sasa raisi anapata kigugumizi gani kumwajibisha Muhongo!?
Msitufanye sisi ni wajinga kiasi hicho mkuu.!
Maajabu ya Musa ni pale alipomfukuza kazi Tibaijuka kwa kosa la kukiuka maadili....! Wakati huo huo raisi anadai fedha iliyochotwa ESCROW si za umma, swali linakuja kama sio za umma, AG na Tibaijuka wanakosa gani, kama pesa zilikua za watu binafsi?!
Nikupe mfano kidogo. Kuku imeibwa mahali kwa mfugaji, wewe unakuja kupewa paja ukala. Mwisho wa siku unaadhibiwa kwa kukubali kula paja ili hali alieiba kuku anaachwa na anaonekana hana hatia...!!!! This is nonsense...!


Bado una shida ya kuelewa hata unachokiandika mwenyewe,unaishia kujikanganya sana.

1. Mkosa hayo aliyoyataja CAG au PCCB kwa muhongo ni yapi?yako ukurasa wa ngapi?

2. Rais anatakiwa kuwawajibisha aliowateua kwa makosa gani,mbona huyataji?

3. Mwenyewe unakiri kwamba Tibaijuka alikiuka kanuni za utumishi alafu unauliza aliwajibishwa kwa kosa gani,kweli unajua ulichokiandika? Mpaka hapo hujui kosa la Tibaijuka?

Nikusaidie,Kanuni za utumishi wa umma zinamtaka kiongozi wa umma kutangaza zawadi au kitu chochote anachokipokea kutoka kwa mtu yoyote,Tibaijuka hakufanya hivyo.
 
Hivi unaposema nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria, unajua maana yake au umeropoka tuu!!!? Kwenye hii scandal ya ESCROW, raisi kama mamlaka ya uteuzi amekiuka kanuni kwa kushindwa kuwawajibisha aliowapa madaraka!
Halafu unaposema swala la media, napata shida juu ya ufaham wako. Swala la ESCROW limeibuliwa bungeni, ndipo media zikatufikishia taarifa. Nikueleweshe jambo moja; ofisi ya CAG, TAKUKURU na PAC, walifanya kazi kwa mujibu wa kanuni na wakadhibitisha makosa yaliyotokea na waliosababisha hayo makosa! Sasa raisi anapata kigugumizi gani kumwajibisha Muhongo!?
Msitufanye sisi ni wajinga kiasi hicho mkuu.!
Maajabu ya Musa ni pale alipomfukuza kazi Tibaijuka kwa kosa la kukiuka maadili....! Wakati huo huo raisi anadai fedha iliyochotwa ESCROW si za umma, swali linakuja kama sio za umma, AG na Tibaijuka wanakosa gani, kama pesa zilikua za watu binafsi?!
Nikupe mfano kidogo. Kuku imeibwa mahali kwa mfugaji, wewe unakuja kupewa paja ukala. Mwisho wa siku unaadhibiwa kwa kukubali kula paja ili hali alieiba kuku anaachwa na anaonekana hana hatia...!!!! This is nonsense...!

Take 5! JK anatia aibu, ni akili ya aina gani hii anayotumia katika swala hilo! Wachonga deal kina Muhongo waachwe asulubiwe aliyepewa zawadi pesa ambayo kwa akili ya JK "SIO PESA ZA UMMA"!!, JK anajaribu kukwepa ukweli na kuwafanya watanzania wote wapumbavu! lakini yeye na anaojaribu kuwalinda wakae wakijua kwamba ukweli utajibainisha na kuwalipukia muda si mrefu na kwa aibu kubwa. It is just a matter of time.
 
Back
Top Bottom