Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,791
Ukiambiwa jambo la kipuuzi hakuna reputation nzuri kama kukaa kimya ili kutojishusha kulingana na aliye ku undermine!
Kabla sijasoma uzi wote ila kikwete mjanja sana ameongelea tuhuma hii siku ya mwisho kabisa ya kampeni ambapo alijua Ukawa hawatapata nafasi ya kulijibu hili maana keeho yake ndio uchaguzi so kma unahisi alikuwa na hoja nzito zenye ushahidi wa yeye kikwete kutohusika basi ni kwanni asiliseme hili mapema kwenye kampeni ili kina tundu lisu walitolee ufafanuzi kabla ya kampeni kufungwa???
Anyway ngoja nisome yote nichangie
Ukiambiwa jambo la kipuuzi hakuna reputation nzuri kama kukaa kimya ili kutojishusha kulingana na aliye ku undermine!
Mada ya hovyo imekaa ki buku7 buku 7 mbona kuna mahakama zote na imeongezwa mahakama ya mafisadi wametwambia hakuna watuhumiwa?.haya wamekuona unahusika na buku7 na bando
Mkuu siyo katika hili, Hili swala lilikuwa ni game changer kabisa. Yaani kama ni katika soka tungeita super sub. Kwa maana kujibu kwake kungemuongezea chance ya yeye kuingia ikulu kwa kiwango kikubwa. Na yeye alikuwa anataka kuingia ikulu. Inakuwaje mtu unataka kwenda mbinguni na huku unaogopa kufa hapa duniani.? Huko mbinguni utaendaje.?
Mkuu huwezi kupata ukuu wa wilaya kuchafua watu
Toa Pendekezo akamatwe na kufungwa mara moja maana hakuna hata haja ya kumpeleka mahakamani..inaweza kuwasaidia!
Sasa mkuu kwa akili zako wwe toka kikwete anadai lowassa alianzisha kamati ina maana kikwete hakujua uwepo wa kamati na kuwa imekiuka sheria za manunuzi??? Na kma kikwete alijua sasa ilikuwaje alikaa kimya hadi issue ilipokuja kubumbulika kwanni asitumbue kabisa ila anamruka baada ya issue kuvuja eti "bwana mkubwa hapa ilipofikia ni bora ujiuzuru tu"Duh kwa hiyo unataka kusema EL alizidiwa kete na JK.?
Lakini sitaki kuamini hili, Kwani nakumbuka EL siku ya mwisho aliendesha kipindi cha kusumarize yote yaliyokuwamo katika kampeni yake. Na kipindi hiki kilikuwa usiku, huku JK alirusha tuhuma hizo mchana, so bado naamini kabisa angeweza kujibu hilo katika kipindi hicho kilichorushwa live na ITV.
Mkuu hilo Jk alilisema siku ya kufunga kampeni yani alilisema jioni kesho yake uchaguzi Lowasa na Ukawa wasingeweza kupata muda wa kumjibu.ila pambana pia ile nafasi ya Ukuu wa Wilaya ya Uyui inatafuta mtuhahahaaa, Mkuu umejibu kiwepesi sana hii hoja.? iwe buku 20 ama buku 1000 haijalishi. Hoja hapa ni kuwa, kwa nini EL hakutumia chance hiyo ambayo ingeweza kumpeleka ikulu kwa ustadi na umaridadi na badala yake akamuachia mpinzani wake aitumie kwa kujinafasi.? Ama ndo kusema EL hakuwa akitamani kwenda ikulu ila alikuwa amekuja kuondoa ushiriki wa Slaa katika uchaguzi wa 2015.?
Kumtuhumu mtu kwa jambo usilokuwa na hakika nalo hutambui ni kosa kisheria? Ama kwa kuwa unayemtuhumu na kumvunjia heshima si wa upande unaoushabikia? kwani hakuna namna nyingine ya kistaarabu kuonesha mahaba kwa chama unachokipenda?Mkuu hilo swala sina uwezo nalo.
Kumtuhumu mtu kwa jambo usilokuwa na hakika nalo hutambui ni kosa kisheria? Ama kwa kuwa unayemtuhumu na kumvunjia heshima si wa upande unaoushabikia? kwani hakuna namna nyingine ya kistaarabu kuonesha mahaba kwa chama unachokipenda?
Hayo ya richmond alishaeleza lisu siku kibao na akasema mwenye richmond ni kikwete na alilisema akiwa kwenye moja ya mikutano ya kampeni.Yeye wala ukawa wake hawajawahi kumjibu jk kwa hoja ktk hilo.
Lakini wafuasi bado hawaambiliki wamejizuia kufikiri
Mkuu hilo Jk alilisema siku ya kufunga kampeni yani alilisema jioni kesho yake uchaguzi Lowasa na Ukawa wasingeweza kupata muda wa kumjibu.ila pambana pia ile nafasi ya Ukuu wa Wilaya ya Uyui inatafuta mtu