Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Status
Not open for further replies.
Richmond si alishawajibika lowasa,mnataka awajibike mara ngapi?,
na ile ilikuwa irregularity tu ya process za kukamata tenda na wala si ufisadi,
kosa la lowasa katika kipindi kile cha mgao mkali wa umeme ilikuwa kutaka kufasttrack process ili watu wapate umeme,
richmond sio ufisadi
 
Kama ww ni mfuatiliaji wa kampeni zao utakumbuka kuwa hayo JK aliyasema cc kirumba mwanzasaa12 kasoro jioni dk kadhaa kabla ya kufungwa kwa kampeni na ukumbuke kuwa kampeni za ukawa walizifunga saa10 kamili jangwani na baada ya kampeni hakukurusiwa mtu yeyote kuongea lolote au kujibu tuhuma kwani ni kinyume cha sheria.
JK alirtumia nafasi ile wakati akijua hamna mda wa kujibiwa.
 
Richmond si alishawajibika lowasa,mnataka awajibike mara ngapi?,
na ile ilikuwa irregularity tu ya process za kukamata tenda na wala si ufisadi,
kosa la lowasa katika kipindi kile cha mgao mkali wa umeme ilikuwa kutaka kufasttrack process ili watu wapate umeme,
richmond sio ufisadi
 
Mtoa post usiamini kila kitu kuwa ni kweli.. Kama kweli anahusika huyo alietamka kuwa El ndiyo Mwenye rich mond mbona hakutoa amri El akamatwe na rejea kwenye kampeni za ubunge monduli 2010.... Huyo hiyo alisema El nidiyo ndiye alikwenda monduli na kummwagia sifa El.

Acha kuamini kila unachosikia..kesho utaambiwa Mimi namgegeda mama yako mzazi..utaamini??
 
Richmond si alishawajibika lowasa,mnataka awajibike mara ngapi?,
na ile ilikuwa irregularity tu ya process za kukamata tenda na wala si ufisadi,
kosa la lowasa katika kipindi kile cha mgao mkali wa umeme ilikuwa kutaka kufasttrack process ili watu wapate umeme,
richmond sio ufisadi
 
Kikwete nimempa kura yangu awamu zite. Lakini siku aliyoongea huu ujinga nilimdiscredit vbaya sana. Kwanza hii ni aibu. Yani eti raisi wa nchi anakuja kwenye majukwaa ya kisiasa kumshitaki fisadi kwa wananchi. Yeye ndye alikuwa na mamlaka miaka yote kumchukulia hatua. Ila alikaa kimya. Kwenye uchaguzi walipoona amewashika pabya ndyo akaanza nyokonyoko.

Niliapa kutoipigia cccm kura kuanzia apo maana haina maana kama unachagua kiongozi kufanya majukumu yake yeye majukumu kama ya kuchukulia hatua mafisadi anayeleta kwa wananchi. Kama yeye alishindwa kumpeleka mahkaman sasa alikuja msemea kwetu ili tumfanye nini sasa.

Mkuu, JK used his chances na akashinda. Why EL hakutumia his kama kweli alikuwa so serious na swala la uraisi wa TZ.? Maana hili swala limempotezea sana credibility.
 
Richmond si alishawajibika lowasa,mnataka awajibike mara ngapi?,
na ile ilikuwa irregularity tu ya process za kukamata tenda na wala si ufisadi,
kosa la lowasa katika kipindi kile cha mgao mkali wa umeme ilikuwa kutaka kufasttrack process ili watu wapate umeme,
richmond sio ufisadi

If so why upinzani wanamkingia kifua kuwa hahusiki na wakamkaribisha.? Kwa hiyo ni kusema kwamba hakuna upinzani wa kweli TZ.? ama wapo tuu kwa maslahi yao.?
 
Kikwete nimempa kura yangu awamu zite. Lakini siku aliyoongea huu ujinga nilimdiscredit vbaya sana. Kwanza hii ni aibu. Yani eti raisi wa nchi anakuja kwenye majukwaa ya kisiasa kumshitaki fisadi kwa wananchi. Yeye ndye alikuwa na mamlaka miaka yote kumchukulia hatua. Ila alikaa kimya. Kwenye uchaguzi walipoona amewashika pabya ndyo akaanza nyokonyoko.

Niliapa kutoipigia cccm kura kuanzia apo maana haina maana kama unachagua kiongozi kufanya majukumu yake yeye majukumu kama ya kuchukulia hatua mafisadi anayeleta kwa wananchi. Kama yeye alishindwa kumpeleka mahkaman sasa alikuja msemea kwetu ili tumfanye nini sasa.
mahakamani kwa kosa lipi?,
alichosema jk ni kuwa suala la Richmond anahusika Lowasa,
lowasa alikiuka taratibu kwa nia njema tu na aliwajibika,
sasa utampeleka mahakamani ukamshitaki kwa kosa lipi labda ?
 
Yeye wala ukawa wake hawajawahi kumjibu jk kwa hoja ktk hilo.
Lakini wafuasi bado hawaambiliki wamejizuia kufikiri
Kaka naona na wewe unajitoa akili. Mkuu wa nchi hili lilitokea na akiwa na mamlaka yote naye anasubiri mpaka uchaguzi na yeye akalalamike jukwaani kama mimi wakati alikuwa na uwezo wa kuchukua hatua stahiki na hakuchua. Jiulize aliogopa nini, halafu uandike tena ulichoandika. Tufanye mchafu ni Lowasa tu na tuishie hapo. Hayo makashfa mengine yote yenyewe ni sawa tu mpaka wahusika wahame chama then itakuwa sio sawa. Ila wenzetu wakifanya sio neon. Kuna mtu aliuza dawa za ukimwi zilizo expire na waathirika wakazitumia na haikuwa neon. Hata wagonjwa nao hamna huruma nao. Sijui akili zenu wengine mmeziacha wapi lakini nahisi ni chooni. Maana mnachoandika kinanuka kinyesi. Nasubiri makazichukue mkizipata mniambie ili niendelee kuongea na nyinyi.
 
Sasa mkuu kwa akili zako wwe toka kikwete anadai lowassa alianzisha kamati ina maana kikwete hakujua uwepo wa kamati na kuwa imekiuka sheria za manunuzi??? Na kma kikwete alijua sasa ilikuwaje alikaa kimya hadi issue ilipokuja kubumbulika kwanni asitumbue kabisa ila anamruka baada ya issue kuvuja eti "bwana mkubwa hapa ilipofikia ni bora ujiuzuru tu"
Nyie kama mnaona kikwete hahusiki mfungulieni kesi lowassa ndio tutayajua yote huko mahakamani ila huwezi sema lowasa kahusika afu rais ukamuacha never its impossible ni kma escrow huwezi sema pesa zilvyogawiwa kikwete alikuwa hajui eti ndio kumtimua muhongo baada ya issue kuvuja??? Msitufanye watoto wadogo bhana

Sipo hapa kusema kikwete anahusika ama laa. Nipo hapa kwa kuhoji ilikuwaje EL alishindwa kutumia his chance hata pale ambapo alishutumiwa direct na aliyekuwa boss wake. Kama angejibu jambo lenyewe aloshutumiwa nalo lilikuwa na uwezo wa kumbeba katika alichokuwa akikitaka zaidi ya alivyokaa kimya. Ndipo hapa inaibuka, was this man (EL) so serious na alichokuwa anakitaka.?
 
Hayo ya richmond alishaeleza lisu siku kibao na akasema mwenye richmond ni kikwete na alilisema akiwa kwenye moja ya mikutano ya kampeni.

Kikwete kauliza hili swali siku moja kabla ya uchaguzi sasa ukawa wangejibu wapi?? Kikwete kaliongelea kwenye mkutano wa hadhara sasa baada ya uchaguzi mikutano ya hadhara mkaifunga sasa ulitaka chadema wajibie wapi??

Haya mambo ya richmond yaana dead end na mwakyembe analijua hilo hta escrow hushangai kwanni waliochukuwa pesa stanbic hawatajwi?? Then mseme kikwete hahusiki au hajui waliochukuwa hela???

Mkuu madili yalikuwa mengi hata bandarini umeona alipokuja magufuli na kuyaweka wazi kwa watanzania.....unafkiri yangeibuliwa bungeni kikwete asingetumbua bandarini kule?? Si naye angedai sio YANGU ni ya hao wakuu wa bandari..........Ila kwa kuwa hayakuvuja yaliachwa tu maana kikwete ana mkono wake kule hta hayo ya richmond kma isingebumbulika unafkiri kikwete angemtumbua lowasa???

Madili mengi sana walifanya outside richmond kwahyo ndo maana anaishia kwenye majukwaa ya kisiasa tu ila siku mkimfungulia lowasa mashtaka naona ndio mengi yatawekwa wazi maana na yeye lowasa atamwaga mboga coz hatakuwa na lakupoteza tena.

Time will tell
Hizi zote porojo mkuu, mlipofushwa kwa kutaka shortcut ya ukombozi mkaamua kucopromise your fundamentals.
Hapo hakuna mjadala hata waliompa lws kura mil 8 walifanya wakijua maana hakukuwa na mbadala
 
Kama mkuu wa nchi wa wakati huo alikuwa jk na ndiye aliyetamka hayo kwann asingeamru lowasa akamatwe?au na ww ni pumbavu.
 
Cham mfu chadema wakiisikia hii hotuba lazima waugue ugonjwa wa kuhara hara, na ubaya hata ofisi hawwana maana yake hata vyoo haviwatoshi matokeo yake watahara mitaani
 
Mtoa mada maadam umeshapata uhakika peleka kesi mahakamani na shahidi yako atakuwa huyo aliyetamka
 
Mtoa post usiamini kila kitu kuwa ni kweli.. Kama kweli anahusika huyo alietamka kuwa El ndiyo Mwenye rich mond mbona hakutoa amri El akamatwe na rejea kwenye kampeni za ubunge monduli 2010.... Huyo hiyo alisema El nidiyo ndiye alikwenda monduli na kummwagia sifa El.

Acha kuamini kila unachosikia..kesho utaambiwa Mimi namgegeda mama yako mzazi..utaamini??

Yawezekana hakutoa amri ya kukamatwa kwa manufaa yake binafsi, The issue is na ninalojiuliza hapa ni kwamba kwa nini EL hakujibu.? maana kujibu kungeweza mpaisha kisiasa na kumuweka clean na hata angevuna kura za undecided voters kwa kipindi kile. Why aliamua kukaa kimya wakati alikuwa na silaha madhubuti ya kumuangamiza adui yake.?
 
Kaka naona na wewe unajitoa akili. Mkuu wa nchi hili lilitokea akiwa na mamlaka yote. Naye anasubiri mpaka uchaguzi na yeye akalalamike kama mimi wakati alikuwa na uwezo wa kuchukua hatua stahiki na hakuchua jiulize aliogoa nini halafu uandike tena ulichoandika. Tufanye ni mchafu ni Lowasa tu na tuishie hapo. hayo makashfa mengine yote yenyewe ni sawa tu mpaka wahusika wahame chama. Sijui akilizenu wengine mmeziacha wapi.Nasubiri makazichue mkizipata mniambie ili niendelee kuongea na nyinyi.
Udhaifu wa lws hauhalalishi mapungufu ya jk. Ila ni wendawazimu kuhalalisha uovu wa lws kwa mapungufu ya jk.
 
If so why upinzani wanamkingia kifua kuwa hahusiki na wakamkaribisha.? Kwa hiyo ni kusema kwamba hakuna upinzani wa kweli TZ.? ama wapo tuu kwa maslahi yao.?
tatizo la wapinzani hawako flexible,hawataki kukiri kuwa lowasa walikuwa wakimuonea kwa kumjazia tuhuma za ufisadi hasa ishu ya Richmond,hawataki kukiri walikosea na bado wanataka awe mgombea wao wa urais,

kosa la lowasa kuleta kampuni ya kwenye briskefu,ambayo hata hivyo si mitambo ililetwa.

Na ipo inapiga kazi mpaka leo
 
Kama mkuu wa nchi wa wakati huo alikuwa jk na ndiye aliyetamka hayo kwann asingeamru lowasa akamatwe?au na ww ni pumbavu.

Jibu laweza kuwa moja tuu, Hakuamuru kwa kuwa yeye (JK) angeweza pata matatizo kwa namna moja ama nyingine. Sasa turudi kwa EL, kwa nini hakutumia hiyo chance kumpaisha na kumuwezesha yeye kwenda ikulu.?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom