KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
Sasa nipo hapa kufanya nini...?
kula viazi mviringo !
Sasa nipo hapa kufanya nini...?
kula viazi mviringo !
Nani kakwambia mi napenda viazi mviringo...?
Bobu,
viazi ni viazi, hakuna cha mviringo, vitamu, mbatata wala nini !
vyote viazi !
.Haya ulale salama, wengine ndio tunaamka
Huyo bwana 'kapop' up from nowhere....utafikiri state troopers wa Indiana na I-70 yao, yaani issues zote walizoongelea hao mabwana kuelekea kwa kibwagizo hujaona!! ila wewe umeona kibwagizo tu??
naona sasa kumekuwa na volunteer JFPD (JamboForums Police Department), na ni no nonsense hata kidogo!!!.
Mzee, hata kidogo haiwezi kuwa 100 per.......utajitia gonjwa la moyo bureeeee.
Nani kakwambia mi napenda viazi mviringo...?
Huyo bwana 'kapop' up from nowhere....utafikiri state troopers wa Indiana na I-70 yao, yaani issues zote walizoongelea hao mabwana kuelekea kwa kibwagizo hujaona!! ila wewe umeona kibwagizo tu??
naona sasa kumekuwa na volunteer JFPD (JamboForums Police Department), na ni no nonsense hata kidogo!!!.
Mzee, hata kidogo haiwezi kuwa 100 per.......utajitia gonjwa la moyo bureeeee.
Source: Ippmedia.Dk. Shein kuondoka leo kwenda Iran, Misri
2007-11-20 10:07:17
Na Said Ameir
Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohmmed Shein anatarajiwa kuondoka nchini leo kwa ziara ya kikazi katika nchi za Iran na Misri.
Katika ziara hiyo Makamu wa Rais anatarajiwa kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wa serikali wa nchi hizo kuhusu masuala ya uhusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na nchi hizo.
Mbali ya kukutana na viongozi wa serikali, Dk. Shein atakutana pia na jumuiya za wafanyabiashara wa nchi hizo pamoja na kutembelea miradi kadhaa ya maendeleo.
Katika ziara hiyo atafuatana na mke wake Mwanamwema Shein, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango, Uchumi na Uwezeshaji, Dk. Juma Ngasongwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Serikali ya Mpinduzi ya Zanzibar anayeshughulikia masuala ya fedha, Dk. Mwinyihaji Makame.
Wengine ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Seif Iddi na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Christopher Chiza, Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Gray Mgonja, Dk. Abdallah Kigoda na Bw. Mhonga Ruhwanya ambao ni wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mzee MwanakijijiHaya bwana...lakini usishtuke kuona thread imekula detour kali sana na kuelekea kwenye udini na siyo kule unakotaka ielekee wewe kama unavyosema. Sometimes it is not what you say but how you say what you want to say or saying....if you get my drift
...yatakapo pamba moto.....wow!! is this an english idiomatic expression? or you just made it up?...never heard of it before..lol
Afadhali Shein nae wamemkumbuka maana wanakamua wao Tu Jk and EL,... hey! mpaka Kigoda ndani! mambo ya kuuma na kupulizia...