Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Kitendo cha Rais kwenda kwenye msiba wa Marehemu Kanumba, kimenifadhahisha sana! Na ni kutokana na kuvuruga kabisa uchunguzi wa kifo cha marehemu. Awali lawama zangu zinakwenda moja kwa moja kwa jeshi la polisi kwa kushindwa kuliweka eneo hilo chini ya uchunguzi!
Polisi wameonyesha wazi ni jinsi gani walivyo wavivu na jinsi gani ni wapenda rushwa! Na Kikwete kwenda pale ni kihitimisha cha ulofa katika utendaji katika jeshi hilo.
Haitoshi kwa polisi kutegemea maelezo ya mdomo toka kwa watu wawili ambao walikuwepo kwenye eneo la tukio pasipo wao wenyewe kwenda kwenye tukio!
Eti wanasubiri uchunguzi wa daktari! Then what? Kama haitoshi wamebariki kuwa kifo hicho kimetokana na pombe kali! r u serious?
F.u.c.k u police
http://youtu.be/LRVmEu1QKzg
Polisi wameonyesha wazi ni jinsi gani walivyo wavivu na jinsi gani ni wapenda rushwa! Na Kikwete kwenda pale ni kihitimisha cha ulofa katika utendaji katika jeshi hilo.
Haitoshi kwa polisi kutegemea maelezo ya mdomo toka kwa watu wawili ambao walikuwepo kwenye eneo la tukio pasipo wao wenyewe kwenda kwenye tukio!
Eti wanasubiri uchunguzi wa daktari! Then what? Kama haitoshi wamebariki kuwa kifo hicho kimetokana na pombe kali! r u serious?
F.u.c.k u police
http://youtu.be/LRVmEu1QKzg