Kikwete kweli umeishiwa!

Huyo askari ana walakini!, kinachofahamika kipo wazi kuwa polisi hawajachukua hatua yoyote ya kuchunguza eneo la tukio zaidi ya maelezo yaliyotolewa. Na leo wamesema kuwa ni pombe kali iliyosababisha kifo! Na hii wamenukuu toka kwa daktari! Yaani wao wamekaa chini tu wakisubiri kuletewa kila kitu mikononi mwao!
Unajua mi huwa nafikia mahali natamani hata nisivyo na uwezo navyo kama kutandika bakora hawa watendaji wetu..
hii nchi imekuwa ni ya kuwapa stress wananchi wake na sivinginevyo hata kidogo...
laana ni juu yao
 
Subirini kumuona lulu ndani ya state house. Si mkuu jana kasema kanumba kafa kwa mapenzi ya Mungu?
Mi kwa hilo sishangai na inaonekana kuna kitu kinaendelea kati ya jamaa na Lulu coz hawezi ibuka tu from no where akaja na hayo maujinga yake...st....d
 
Ndo mkome kuchagua wapiga dufu madrasa kuwa marais..baba zima linaacha high office of this country linaenda sinza eti kwenye msiba..pumbafu kabisa
Yan lijamaa halina hata akili ya kutafakari mambo mepesi....
I Can Be A President.jpg
Hadi mtoto kama huyu anaona kwa alivyo na umri wake anaweza kuwa raisi kwa aibu ya anayofanya mkuu....
Yan anaamini ana uwezo kuliko hata huyo wa sasa....
 
Kwa hiyo mwandishi unamaanisha kikwete kaingilia uhuru wa polisi km alivoingilia hukumu ya lema? Unatuambia nini sasa; kwamba kikwete anataka kumrithi sk?
Alitakiwa kushinikiza jeshi hilo lifanye uchunguzi wa kina ikiwa ni pamoja na kuchunguza eneo la tukio. Kwa yeye kwenda pale ni sawa na kubariki uvivu wa polisi...
 
Kweli kabisa kitendo cha rais kwenda msibani ni kama kaingilia ushahidi wa polisi na hasa alipotoa kauli eti kifo cha Kanumba ni mapenzi ya Mungu.
 
Hivi inatakiwa Lulu ahukumiwe hata kama hana kesi ya kujibu???

Mnanizingua.
 
Kulikuwa hakuna haja ya Rais na Waziri Mkuu kwenda msibani zaidi ya kutafuta kura/popularity.

Rest in Peace Steven Kanumba
 
Hivi JK akisema "ni mapenzi ya mungu" anaharibu vipi upelelezi? Mbona hata kwenye dua wawakishi wa dini nao wametamka hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom