residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,531
- 13,461
Thubutuuu!!!Yeye siyo mchawi
JK huyu huyu wa Msoga!!??
Thubutuuu!!!Yeye siyo mchawi
Usimlishe mawazo yako.Je, Kikwete ametupa dongo kwenye familia ya Magufuli na Mkapa?
Akitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;
"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.
Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?
Mama JANETH MAGUFULI ENDELEA KUWA NA MOYO MAMA.
🤣🤣Je, Kikwete ametupa dongo kwenye familia ya Magufuli na Mkapa?
Akitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;
"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.
Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?
Mama JANETH MAGUFULI ENDELEA KUWA NA MOYO MAMA.