Daraja2
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 285
- 346
Kwa nini? Kwa sababu hakuwahi kugombea kabisa nafasi hiyo (ya kupeperusha bendera) na kuhudumu.
Tukumbuke Kila mgombea aliyeteuliwa alikuja na "falsafa" yake ya kuongoza nchi.
Kwa hiyo Rais wa awamu ya 6 ataanza kazi rasmi 2025 - 2030 ambaye ni MAMA DR.SAMIA SULUHU HASSANI kwa kuchaguliwa kihalali na wajumbe wote halali.
HONGERA SANA MAMA !!!
Tukumbushane kidogo kipindi cha nyuma Urais ulizingatia pande mbili "kipindi hiki akitokea bara, kipindi kinachofuata atatokea Zanzibar na kinyume chake" lakini kwa Sasa sheria hii haizingatiwi sana.
Ni utaratibu tu mtakao kubaliana kwa pamoja kulingana na nyakati hizo (huko mbeleni).
Mnavyomlaumu mama wa watu Kama vile amejiteua kipindi hiki kwa nini msingepinga pale pale ukumbini.
ACHENI UNAFIKI.
Namalizia kusema kwamba mama yupo kihalali Hadi 2030 Kama mlivyokubaliana.
KATIKA KUSAKA URAIS KWA MARA YA KWANZA (awamu ya 6) MAMA SAMIA ATAKAPOZUNGUKA NCHI NZIMA ATAKUJA NA "FALSASA" YAKE ITAKAYOIONGOZA NCHI KUENDANA NA KARNE YA 21.
Wananchi tunaisubiri kwa hamu sana "falsafa" hiyo mpya itakayotambulishwa "soon".
Nitarudi baadaye kidogo.........
Ahsanteni.
Tukumbuke Kila mgombea aliyeteuliwa alikuja na "falsafa" yake ya kuongoza nchi.
- NYERERE - Siasa ya ujamaa na kujitegemea (falsafa mama).
- MWINYI - Ruksa.
- MKAPA - Ukweli na uwazi.
- KIKWETE - Ari mpya, nguvu mpya na Kasi mpya.
- MAGUFULI - Hapa kazi tu.(majungu peleka ukawa😂😁🤣).
Kwa hiyo Rais wa awamu ya 6 ataanza kazi rasmi 2025 - 2030 ambaye ni MAMA DR.SAMIA SULUHU HASSANI kwa kuchaguliwa kihalali na wajumbe wote halali.
HONGERA SANA MAMA !!!
Tukumbushane kidogo kipindi cha nyuma Urais ulizingatia pande mbili "kipindi hiki akitokea bara, kipindi kinachofuata atatokea Zanzibar na kinyume chake" lakini kwa Sasa sheria hii haizingatiwi sana.
Ni utaratibu tu mtakao kubaliana kwa pamoja kulingana na nyakati hizo (huko mbeleni).
Mnavyomlaumu mama wa watu Kama vile amejiteua kipindi hiki kwa nini msingepinga pale pale ukumbini.
ACHENI UNAFIKI.
Namalizia kusema kwamba mama yupo kihalali Hadi 2030 Kama mlivyokubaliana.
KATIKA KUSAKA URAIS KWA MARA YA KWANZA (awamu ya 6) MAMA SAMIA ATAKAPOZUNGUKA NCHI NZIMA ATAKUJA NA "FALSASA" YAKE ITAKAYOIONGOZA NCHI KUENDANA NA KARNE YA 21.
Wananchi tunaisubiri kwa hamu sana "falsafa" hiyo mpya itakayotambulishwa "soon".
Nitarudi baadaye kidogo.........
Ahsanteni.