Kikwete kushuhudia matatizo ya wananchi miaka minne baadaye!

Huu si mwaka wa nne wa utawala wa Kikwete...kuwa haujafanya hiki au kile...huu ni mwaka kati ya miaka zaidi ya 40 ya utawala wa CCM haujafanya lolote la maana kuinua hali za wananchi maskini...CCM ndiyo tatizo, akiondoka Kikwete 2015 hali itabaki hivyo hivyo kama ilivyokuwa kabla na wakati wake.
 
Hana jipya baada ya kukwaruzana na TUCTA na baadaye kugundua kwamba amechemka anataka kusafisha njia kwa wafanyakazi wa DSM. Mtafutieni safari ya kwenda Washington Merikani.[/QUOTE]
Wewe una hasira sana,maana hata Marekani unaandika Meri-kani!
Punguza kidogo hasira tumsaidie rais kuweka mambo sawa.
 
Huu si mwaka wa nne wa utawala wa Kikwete...kuwa haujafanya hiki au kile...huu ni mwaka kati ya miaka zaidi ya 40 ya utawala wa CCM haujafanya lolote la maana kuinua hali za wananchi maskini...CCM ndiyo tatizo, akiondoka Kikwete 2015 hali itabaki hivyo hivyo kama ilivyokuwa kabla na wakati wake.

Ukitaka kumuua nyoka piga kichwa..! CCM ni nyoka Kikwete ni kichwa
 
wewe una hasira sana,maana hata marekani unaandika meri-kani!
punguza kidogo hasira tumsaidie rais kuweka mambo sawa.



kweli like father like son pengo atawekaje mambo sawa kwa miezi 6 iliyobaki miaka minne kashindwa now ndo anazunduka usingizini?? Mtafutieni safari iraq akapumzike
 
HIvi kuna uwezekano kuwa hajui kuwa kuna matatizo ya maji machafu na usimamizi wa maji machafu jijini Dar?

Anajua sana alikuwa anakijiwe chake sinza kabla ya kuwa rais na pembeni tu ya kijiwe chake kulikuwa na harufu mbaya ya maji machafu.

Tatizo la Kikwete na watendaji wengi wa serikali Tanzania ni kujaribu kuwaiga wahindi, hawaamini ktk lile wanalolisema. Mhindi kama umekwenda dukani kwake akakwambia.....ah..hiinzuri sana nunua.....ndugu yangu usinunue jua hiyo nbadhaa ya hovyo.


Kila siku utasikia tunampango...... mazungumzo yako ktk hatua za mwisho.......... tunatafuta mkandarasi......na ujinga mwingine mwingi.
 
Nawaomba wafanyakazi ktk maeneo yenu hakuna haja ya kuhudhuria mikutani ya JK
 
Tatizo letu humu ndani tunachonga sana. Action = zero.

Walau TUCTA walionyesha njia lakini humu ndani (na ninajua kuna wana-TUCTA wengi tu) tukabakia tunachonga tu.....Action = zero.

We need to change from ZERO's to HERO's by walking our talks!!
 
good move jk, tuko pamoja

tayari anasema anaenda kutembelea maeneo yenye shida ya maji , sasa ndo anapeleka maji ? Anaenda kulaghai wananchi kule, anaenda kutoa ahadi lukuki........hana lolote, miaka minne na miezi mitatu sasa ndo anaona umuhimu wa maji kwa wakazi wale....kimeo hicho.
 
Natumai atawaeleza pia tangu aingie madarakani 2005 ni mambo yepi aliyoyafanya kama Rais wa nchi kuyashughulikia matatizo mbali mbali ya wakazi wa jiji na Watanzania wote. Kwa kifupi hakuna lolote alilolifanya.
 
Nilichohofia ndicho kimetokea; amesema exactly yale ambayo tulikuta tunayarajia.. he is very consistent!!
 
Back
Top Bottom