Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ndugu zangu watanzania wazalendo,
Kwa wale wanaofuatilia mwenendo wa maisha hapa nchini, mnaweza kukubaliana nami kuwa hakuna wakati ambapo suala la udini limeibuka waziwazi kama sasa chini ya uongozi wa kikwete. Hata wakati wa mzee mwinyi hali haikuwa hivi ukiondoa lile tukio la kuchoma moto bucha za nguruwe.
Jambo la kujiuliza ni je, kwa nini hali hii itokee sasa? Ukweli ni kwamba moja ya agenda ya kikwete katika uongozi wake ni eti kuwanyanyua waislam. Hilo limejidhihirisha wazi katika teuzi zake nyingi kwenye nafasi mbalimbali serikalini. Mfano mzuri tu, angalia balozi zeti nje ya nchi. Angalia mabalozi waliopo nchi tajiri za ulaya na asia na angalia nchi maskini hapa bara la afrika na asia. Utapata jibu.
Inasemekana hata suala la mahakama ya kadhi amewaambia waislam wenzie kuwa wakae kimya na kuwaahidi kuwa atalishughulikia kwa staili nyingine. Ndiyo maana sasa hivi halipigiwi kelele sana.
Ninachotaka watanzania wazalendo watambue ni kwamba tuna kiongozi mdini na hatari sana. Anachoongea jukwaani sicho kilichomo moyoni na wala sicho anachotenda. Muhimu ni kuomba Mungu amalize uongozi wake bila nchi kuingia ghasia za kidini. Vinginevyo, tunakoelekea ni hatari.
Hatua ya kuongelea suala la udini kwenye hotuba yake bungeni hivi karibuni kwamba ni mojawapo ya nyufa kubwa na hatari ni geresha tu ya kuwapumbaza wananchi ambao tayari wameanza kuwa na wasiwasi nae.
Kwa wale wanaofuatilia mwenendo wa maisha hapa nchini, mnaweza kukubaliana nami kuwa hakuna wakati ambapo suala la udini limeibuka waziwazi kama sasa chini ya uongozi wa kikwete. Hata wakati wa mzee mwinyi hali haikuwa hivi ukiondoa lile tukio la kuchoma moto bucha za nguruwe.
Jambo la kujiuliza ni je, kwa nini hali hii itokee sasa? Ukweli ni kwamba moja ya agenda ya kikwete katika uongozi wake ni eti kuwanyanyua waislam. Hilo limejidhihirisha wazi katika teuzi zake nyingi kwenye nafasi mbalimbali serikalini. Mfano mzuri tu, angalia balozi zeti nje ya nchi. Angalia mabalozi waliopo nchi tajiri za ulaya na asia na angalia nchi maskini hapa bara la afrika na asia. Utapata jibu.
Inasemekana hata suala la mahakama ya kadhi amewaambia waislam wenzie kuwa wakae kimya na kuwaahidi kuwa atalishughulikia kwa staili nyingine. Ndiyo maana sasa hivi halipigiwi kelele sana.
Ninachotaka watanzania wazalendo watambue ni kwamba tuna kiongozi mdini na hatari sana. Anachoongea jukwaani sicho kilichomo moyoni na wala sicho anachotenda. Muhimu ni kuomba Mungu amalize uongozi wake bila nchi kuingia ghasia za kidini. Vinginevyo, tunakoelekea ni hatari.
Hatua ya kuongelea suala la udini kwenye hotuba yake bungeni hivi karibuni kwamba ni mojawapo ya nyufa kubwa na hatari ni geresha tu ya kuwapumbaza wananchi ambao tayari wameanza kuwa na wasiwasi nae.