kua na rais mlev pia ni tatizo
Na Nguruwe wa kuchomaKama Mkapa?
Kwani tatizo liko wapi, mbona Chenkapa alikuwa akinywa Konyagi? Chapa lapa gtna hoja.Ndugu yangu hii nimeipata kutoka kwa source za ndani...presidential vallei....rais kunywa pombe kali kama guiness huenda ikaathiri utendaji kazi wake je tija kwa taifa itakuwepo utendaji kazi wa rais ukiathirika? mbona hufikiri vizuri ndugu yangu?
Wadau ningependa kufahamishwa nimesikia kikwete hanywi pombe yoyote isipokuwa chupa moja ya guiness kwa siku, je ni kweli? watu wengi huona pombe ndio starehe inayoweza kuwatuliza baada ya majukumu kumbe naye ni mwenzetu?
wataalam wa kilaji guiness .......sio pombe??????????Wadau ningependa kufahamishwa nimesikia kikwete hanywi pombe yoyote isipokuwa chupa moja ya guiness kwa siku, je ni kweli? watu wengi huona pombe ndio starehe inayoweza kuwatuliza baada ya majukumu kumbe naye ni mwenzetu?
Mwambie Lymo hapo chemchem akufanyie kitu cha mchemsho wa mdudu!Usisahau kucheua na kitu cha konyagi ndogo kabla ya kulala.Nipo zangu pande za mwika nakunywa mbege
Mh najua alikuwa ni mtu wa wines sana grants mara chache na nakumbuka one time tukuwa mnadani Dodoma akiwa waziri 2001 alikuwaanakunywa castle na pale mtaa wa usino opposite na home kwake ilikuwa Greem Paladium siku hizi wapo chines alikuwa anakunywa santiana wine.wewe unayesema street gossip unauhakika? mimi mimejua kutoka source za ndani za ikulu...mi ninavyofahamu unywaji wa pombe ni hatari kwa afya...je afya ya rais ikihatarishwa hiyo ni tija kwa taifa?
Mkuu, Mkapa alikuwa anakunywa konyagi na mdudu mbaya kabisa.That guy was something else kwenye konyagi, mizinga miwili in one sitting ni kawaida sana.viongozi wa nchi nyingi duniani hupiga kinywaji.Sarkhozy=varieties of Cognac spiritsObama= Corona LightBush=Jim Beam/Jack Daniels (lakini aliacha mitungi on his 40th birthday)Kim Il Jong=HennessySaadam Hussein=Johnnie Walker (Black label)Saudi King=HennessyMkapa=variety of beersGadhafi=sauvignon winesBerlusconi=CinzanoPutin=Greygoose VodkaHu Jintao=Sake beersasa kama mkuu wa kaya anagonga Guiness basi shega tu
Mkuu, Mkapa alikuwa anakunywa konyagi na mdudu mbaya kabisa.That guy was something else kwenye konyagi, mizinga miwili in one sitting ni kawaida sana.
Kama msuba ndo unamfanya awe na uwezo alonao wa kuwalaza macho wazi watu wa lumumba, basi natoa rai kwa wananchi wote watumie ndumu!Nini guiness, chairman wa chama chetu kile na mkuu wa kambi fulani kule mjengoni anakula ndumu bin msuba !
Wadau ningependa kufahamishwa nimesikia kikwete hanywi pombe yoyote isipokuwa chupa moja ya guiness kwa siku, je ni kweli? watu wengi huona pombe ndio starehe inayoweza kuwatuliza baada ya majukumu kumbe naye ni mwenzetu?
Nasikia kitu cha Kishimundu balaa kinazidi kile cha Kibosho bande za kina MallyaKama msuba ndo unamfanya awe na uwezo alonao wa kuwalaza macho wazi watu wa lumumba, basi natoa rai kwa wananchi wote watumie ndumu!