A alph Member Oct 14, 2011 98 9 Nov 3, 2011 #21 Mbona hiyo ndo kawaida, soko lingekuwa linapata maji ndio ningeshangaa!!
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Nov 3, 2011 #22 Unafahamu nini maana ya mgawanyo wa majukumu. Raisi sio mtendaji, yeye ni msimamizi tu.
Cha Moto JF-Expert Member Jul 2, 2011 945 153 Nov 3, 2011 #23 Masaburi tumia kasaburi uondoe huu uozo, kama vipi tukupeleke UK tupewe misaada!!!!!