Kikwete for London Family Planning summit

HUyu jamaasasa mbona mambo yake na semina anayokwenda kuhudhuria tofauti...yaani mtu ana mitoto 47 plus eti anaenda kwenye semina ya uzazi wa mpango...hahaaa JK bwana
 
Naona Mwandishi wake Michuzi ameshatangulia UK.
KOMBAJR Hii ipo kule kwake

[h=1]ZE FULANAZZZZZ NDANI YA LONDON...[/h]
GOPR1526.jpg

Ankal na Ze fulanazzzz na mpiganaji Ayoub Mzee na Mdau Jumbe jijini London

 
I am sick to my styomach. Huyu ndiye rais wetu, Heri hata Matonya awe Rais kuliko Kikwete kuwa Rais. Matatizo lukuki nchini, bila aibu anaondoka kwenda kwenye family planning summit. This man is bogus. Mimi mwanamke lakini nadiriki kumuita Bogus. Mnyika alisema kweli. Huu ni udhaifu liopitiliza. Yaani bila aibu, huyu ni mtu wa aina gani jamani? Is this man normal?

Wee ulitakaje,zungumza ueleweke acha kumumunya maneno wee ndio ulistahili kwenda? wee ndo bogus no moja.лллеййодхдйсодофр yako we.
 
sasa hiyo family planning summit itamsaidia nn, wakati jamaa ana watoto mpaka wengine kashindwa kuwapa maisha! angemtuma Kardinal Pengo
Ndakilawe umeniwahi ... nilitaka kuuliza hili ... kwamba hivi yeye mwenyewe anao watoto wangapi? ... anajali hiyo Family Planning?! ...
 
Rais hana delegation of Authority ?anajiamini mwenyewe hata vijisemina hivi ?hivi tutapata shs ngapi hapa na yeye na msafara wake watafumia shs ngapi ? Mungu Ibariki Tanzania !!!!!!!!!!!!!!
 
"Wanafunzi wa kike wanapata mimba kutokana na viherehere vyao" -J Kikwete.
Simply Pathetic.
 
Safi sana Kikwete labda 2015 tunaweza kuanza kushirikisha ubongo kabla ya kufanya maamuzi magumu.Yote haya tungeweza kuepukana nayo 2010.
 
TUMEFIKA HAPA TULIPO SABABU YA SERIKARI MBOVU,UPUUZI WA CCM,BUNGE BOVU NA UDHAIFU WA KIKWETE NAOMBA KUTOA HOJA:israel:
 
kuna ziara imefanywa na makamu wa rais wa sauzi morogoro,kama ingekuwa bongo hapa ,hakika huyu jamaa angeenda yeye.......ivi inakuaje huyu jamaa hata hana mshipa wa aibu kwamba sasa izi safari zimetosha.......
 
KIKWETE ana watoto 7 wanaofahamika ikulu,jee hiyo family planning bado inamhusu?ataeleza nini umma juu ya kupanga uzazi
 
Waziri wa Afya Dr. Mwinyi kaisha fika London... Kakimbia Mgomo nini anakula kuku kwa Mrija

Serikali ya CCM ni safi sana...

Family planning ( London) inamuhusu, mgomo wa madaktari kuna waziri Husika huyu jama ni "K"
 
acha uboya wewe! mbona hata wewe familia yako ninamatatizo na unafanya starehe kama kawaida ukidai unapoteza mawazo! badala ya kwenda nyumba za ibada! boya wewe
(huo mpasho umekuuma sana MarkJ sio?! Pole; acha jembe liitwe jembe!!)
 
mkuu wewe una point gani mbadala ya kuweza kutushawishi tukubaliane na ushauri au mawazo yako? tujuze labda sisi tunaopinga hizi ziara labda hatuna macho mawili, unaweza kutujuza kidogo kuliko kumtukana au kumzomea mtoto wa mwenzio ili hali anao uhuru wa kutoa maoni yoyote ilimladi asivunje sheria. huo ndio u great thinker wako mkuu?

pointless, unaongea uchafu tu.angalia great thinkers wengine uige! kwelii we mpiga zeze hahaha
 
Kwahiyo mnataka kusema Family planning kitu kidogo hakustahili rais kwenda?

Hebu acheni hizo cheap blows! Hii nchi inahitaji sana sensitization kwenye maswala haya, wakina mama lazima wawezeshwe kuamua namba ya watoto wanaotaka ili taifa linufaike zaidi na mchango wao.
 
Nahisi kuna watanganyika wengi ambao labda wamezaliwa dar wakakulia dar wakasoma dar wakafanya kazi dar wakaoa wake kutoka dar hawa watu sidhani kama wanaijua vizuri tanganyika na vijiji vyake mtu anasupport gharama kubwa za ziara ya jk ilingali maisha ya wanakijiji ni tatizo kabisa hivi mnajua kuna watu wanahangaika tu suala la kula kwao ni shida? akiugua dawa hospt hakuna kabisa na hela ya kwenda kununua private shop hana? jamani ulizeni watu wanaotoka vijijini wawajuze unaweza kulia ukimtumia mtu mpesa ya sh 2000 anakuona kama mungu maisha ni magumu sana aisee hatujafika mahali tujisifie kwa hatua tuliofikia inatakiwa tukabiliane na matatizo ya ndani kabla hatujenda huko. ziara moja nahisi sio chini ya million 100 na angalia ni ziara ngapi zimefanyika acha za raisi za mawaziri, mara kamati za bunge, taasisi za kiserikali ni pesa nyingi sana zinatumika ilingali wanawaacha watanganyika wengi wakiwa hawana matumaini kama kesho wataliona jua na hizo ziara zimeleta faida gani kwetu zaidi ya kubadilishiwa kibao kuwa lazima tuwe mashoga ndio tupate msadaa. hayo si matokeo ya hizo ziara zenu za kuomba omba? , suala la kula bata ale akiwa tayari ametoka madarakani atumie hela yake ya kustaafu na sio hela za walalahoi, msipende kushabikia kila jambo ilimradi muonekane mko tofauti au kuleta malumbano yasiyo na tija kama una pinga pinga kwa hoja na ueleweke na wachangiaje wanaweza kukubaliana na wewe na sio kwa vijembe ambavyo mwisho wa siku mnaleta chuki baina yetu nahisi humu ndani mko above 18 yrs na mna akili sawa sawa. na kwanini uombe ombe mnaweza kunipa sababu kubwa za tannganyika kuomba omba nilishangaa sana hata choo tu cha kunyea mtu serikali ilishindwa wakasubiri msaada kutoka plan international wakawachimbia choo pale kwenye shule za pande za nyakato mwanza na tena wameweka chata yao kabisa ya plan, na shule ya msingi ya ikulwa na shule ya msingi mkoani zote toka mkoani Geita ni aibu sana na mpka kwenye vijarida vyao wanavipeleka ulaya kuwa tumefanya hivi na hivi we unafikiri watawaonaje nyie?? msiwe manaishi kwa matumaini tafadhali.
 
eleweni thread vizuri. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimefanya vizuri duniani ktk uzazi wa mpango. jk amealikwa ili awasilishe mada. mwacheni akatuwakilishe. vievile mbona nchi iko shwari! mbona mgomo umeisha na mambo yanaendelea vizuri!? acheni kuwashwa. acheni wivu! jk kula bata

Tanzania imefanya vizuri sana katika kila sekta - afya, elimu, maji, usafairi, utawala bora nk (wanavyowangopea!!!), sasa Mhe Rais atahudhuria ama kuwasilisha mada katika makongamano mangapi ya kimataifa??? Hapo ndipo wadau wanapendekeza kwamba hii kazi inaeza kufanywa vizuri na wakuu wa sekta husika (yaani wakamwakilisha Mhe Rais) vinginevyo anajidhalilisha na kudhalilisha na kudogesha asasi ya urais nchini Tanzania!!!! Je huyu katibu mkuu kiongonzi mpya hawezi kumshauri vizuri kuhusu haya mambo???
 
eleweni thread vizuri. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimefanya vizuri duniani ktk uzazi wa mpango. jk amealikwa ili awasilishe mada. mwacheni akatuwakilishe. vievile mbona nchi iko shwari! mbona mgomo umeisha na mambo yanaendelea vizuri!? acheni kuwashwa. acheni wivu! jk kula bata

1. Population growth yetu ni ngapi?

2. On average, mwanamke wa Kitaanza anazaa watoto wangapi?
 
Back
Top Bottom