Kikwete atoa agizo wastaafu wa EAC walipwe!

Hana lolote la maana. Ufuatiliaji wa maagizo yake haupo, akifika mahali anaongea lugha za kufurahisha watu halafu hakuna ufuatiliaji wa utekelezaji wa yale aliyoyaagiza.
 
Lete ushahidi wa takwimu kuwa hakubaliki. Kama huna takwimu edit post yako haraka.
 
Kuongea ni kitu kingine na kutimiza ahadi ni kitu kingine pia. Bado yaleyale ya wakati wa kampeni walipouliza hivi hizi ahadi nyingi hivi zitatimizwa kweli! na jibu likawa hivi ndivyo wananchi wanapenda kuvisikia!

I hope watalipwa kweli sio kuridhiwa masikio yao tu.
 
JK alikuwa kilaza tangu Chuoni(UDSM).Binaafsi siielewi siasa:mtu asiyeweza anaweza,anayeweza hawezi.

Kikwete Urais hauwezi kabisa ila basi tu. Amejaa woga, misifa, usenge-mambo na kukurupuka.

Kikwete ye amebarikiwa kuwa Sharobaro tu.....si Rais.
 
Atasema kila kitu mwaka huu na bado kipindi ni kibichi sana!! huu mchaka mchaka wa waTanzania this time atatamani now iwe September 2015................... hate him God forbid lol!:angry:
 
Akifanya ziara Wizara ya Fedha na Uchumi pamoja na vitengo vyake...Rais asiyekubalika ameagiza wazee wa iliyokuwa EAC walipwe madai yao haraka huku akicheka kama kawaida yake......ulikuwa wapi muda wote huo ni usanii....

Akubalike asikubalike lakini ndie aliyepata kura nyingi za ndio katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 na kuapishwa kisheria kabisa kuwa ni rais wa JM wa Tanzania mpaka 2015 ambapo utafanyika uchaguzi mwingine kisheria.

Unune, Ucheke yeye ni Rais tu.
 
JK alikuwa kilaza tangu Chuoni(UDSM).Binaafsi siielewi siasa:mtu asiyeweza anaweza,anayeweza hawezi.Kikwete Urais hauwezi kabisa ila basi tu.Amejaa woga,misifa,usenge-mambo na kukurupuka.Kikwete ye amebarikiwa kuwa Sharobaro tu.....si Rais.
.

Pamoja na yooote uliyonena ikiwa pamoja na kashfa zako dhidi yake yeye anabaki kuwa RAIS mpaka 2015 oct.
 
Atatoa tamko kwa kila kitu mwaka huu........... huu mchaka mchaka wa watanzania this time nahisi unamfanya atamani now iwe September, 2015..............
 
.

Pamoja na yooote uliyonena ikiwa pamoja na kashfa zako dhidi yake yeye anabaki kuwa RAIS mpaka 2015 oct.
JK mbona haeleweki?

waziri Mkullo alishasema kesi imemalizika na wazee hawana haki ya kulipwa, wazee wakakata rufaa sas JK anaingilia mahakama?

JK analazimisha kukubalika kwa mgongo wa hawa wazee na sasa atawalipa kwa hela ipi wakati RA anataka achotewe chake mapema?

Kesho sema sukari 1000, soda 200 ulishaharibu ni vigumu kukubalika mbele ya Watz
 
Anyway angeweza kosa cha kuongea pale.... lakini nijuavyo haiwezekani kuwalipa hawa vikongwe kwani hela hatuna.

Tutaendelea hivi mpaka 2015..... naondoka.
 
huyu Mzee KIKWETE kachanganyikiwa kweli,haya vipi kesi iliyoko mahakamani yeye anaitolea maamuzi wazee musikubali kulipwa mpaka mulipwe fidia na fedha za mahangaiko na manyanyaso kutoka kwa serikali ikiwamo vipigo na kuswekwa ndani
 
alikuwa wapi kusema wazee walipwe wakati ule walipoandamana na kusambaratishwa? hizi ni porojo zake tu tumeshazizoea
 
Usanii tu, hata sukari alisema ishuke bei lakini bado bei iko juu, hata hili litapita, watendaji wake wameshamdharau. Ni rais kibogoyo kiutendaji.
 
WAZEE WETU WASILIPWE TU 'MBEGU ZA WALIZOKOPWA BILA HIARI' ZAIDI YA MIAKA 30 ILIYOPITA BALI NA 'MAVUNO YA JUU' PIA

Haki ya mtu inapocheleweshwa kiasi hiki kama ilivyotokea kwa wazee wetu hawa ni sawa na kusema ni uamuzi wa serikali kuwanyima haki yao hawa 'SENIOR CITIZENS' wetu kiukatili mno. Wana-JF, kama sehemu ya jamii, tunayo jukumu kuhakikisha Wazee hawa wanalipwa 'Mbegu zao stahiki' na 'Mavuno yake yote' ambayo ingeweza kupatikana kwa mfanyabiashara yoyote kutumia kila shilingi yao kwa miaka hiyo yote kwenye shughuli za uzalishaji.

Katika hili NGOs, Vyama Vya Hiari, Vyama Vya siasa, na Vyombo vya habari sote tunalojukumu lisilokwepeka kwa wazee hawa kuhakikisha kwamba kwa tangazo hili la Mhe Kikwete wazee wetu wanalipwa zaidi mavuno ya juu katika fedha stahiki waliokua walipwe tangu miaka hiyo yote.

Mhe Kikwete alikua wapi miaka yote mpaka akawaache wazee wetu waadhirike na kupigika kimaisha kiasi hicho wakati amekwepo serikali kwa miaka yote hiyo??

Na walipwe fedha zao pamoja ya gharama zote ya thamani ya hela hizo kwa kuzingatia kipindi chote amcho wazee hawa wamezuiliwa kutumia fedha zao hizo kwenye shughuli nyinginezo za uzalishaji ambazo zingechangia kuongezeka zaidi kwa thamani ya kila shilingi kama wangezipewa tangu huko nyuma.

Tofauti na hapo, itakua ni WIZI MTUPU kukopa hata shilingi 1 ya wazee wetu hawa tangu miaka 30 iliopita, na kuendeshea shughuli binafsi bila ridhaa yao, na kuja kuwarudishia shilingi hiyo hiyo 1 baada ya kipindi chote hicho.

Sote hapa JF tangu sasa tunakodolea macho kutaka kuona kwamba kwa ahadi hiyo ya Kikwete; Wazee wetu watalipwa HAKI STAHIKI au mazingaombwe kama kawaida kutoka Hazina??
 
Back
Top Bottom