Huyu jamaa hayuko serious kabisa na maisha ya watu.sikuzote alikuwa kimya yaani i have never seen a leader behaving in his stile.Akifanya ziara Wizara ya Fedha na Uchumi pamoja na vitengo vyake...Rais asiyekubalika ameagiza wazee wa iliyokuwa EAC walipwe madai yao haraka huku akicheka kama kawaida yake......ulikuwa wapi muda wote huo ni usanii....
Akifanya ziara Wizara ya Fedha na Uchumi pamoja na vitengo vyake...Rais asiyekubalika ameagiza wazee wa iliyokuwa EAC walipwe madai yao haraka huku akicheka kama kawaida yake......ulikuwa wapi muda wote huo ni usanii....
iv) Kuhusu malipo ya wasataafu wa iliyokuwa Jumuia ya Afrika Mashariki iliyovunjika, Rais Kikwete ametaka wote wanaostahili kulipwa mafao yao na hawajalipwa hadi sasa walipwe, hata kama ni kweli kuwa wengi wa watumishi hao tayari wamelipwa.
bora walipwe maana siku nyingi sana hawa wazee hawajalipwa haki yao na tubadili mijadala ije mipya sasaChannel ten leo jioni imedai ya kuwa JK ametoa maagizo wastaafu wa iliyokuwa jumuiya ya EAC walipwe mara moja..................................hii kama ni kweli basi CCM imeanza kujipanga upya......................................kuachana na dhuluma dhidi ya raia wanyonge........................lakini tusubiri utekelezaji wake.........................walipwe nini kwanza???????????????????????????
[B] [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png[/IMG] Re: Jk atoa agizo wastaafu wa EAC walipwe!!!!!!!! [/B]
Utashangaa hata baada ya miaka miwili bado watakuwa wanadai!
Channel ten leo jioni imedai ya kuwa JK ametoa maagizo wastaafu wa iliyokuwa jumuiya ya EAC walipwe mara moja..................................hii kama ni kweli basi CCM imeanza kujipanga upya......................................kuachana na dhuluma dhidi ya raia wanyonge........................lakini tusubiri utekelezaji wake.........................walipwe nini kwanza???????????????????????????
(
Kilio cha wastaafu ni mapunjo ya malipo yao na kauli hii ya JK haijawagusa............................this is another lost opportunity for JK and cohorts...........................................