Kikwete asimulia alivyoiba wali JKT!

Kikwete asimulia alivyoiba wali JKT!

Aibu! Kuiba wali! Hivi hakuna vitu vya kizalendo alivyofanya au kujifunza alipokuwa JKT? Amesahau kuwa yeye kwa sasa ndiye amiri jeshi mkuu?
 
fetheha km aliiba wali xaxa ataiba mpaka ukoko........je mbona hakusema alipewa athabu gani...na kawawa alipo pewa taariwa wakati walikuwa wote ali jiskiaje kijana wa enzi izo anaiba wali....
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hapa sioni cha kushangaa huu ni mwendelezo tu wa tabia. Hapo ni analogy sasa ni digital! KIJIKO=PEN, SAHANI=KARATASI na WALI=WABONGO.
 
Ingawaje mimi co mshabiki wa JK ila kasema kweli jkt sio mchezo mimi nakumbuka niliweka nyama mfuko nikakamatwa wakanitangaza mbele ya hadhara.
 
Mheshimiwa ametoa hotuba nzuri sana! pata muda isikilize mpaka mwisho wala haikustahili hiyo heading! amezungumzia mstakabali wa vijana wanaomaliza form six na jkt! pamoja na impact yake pia histora ya jkt kwa ufupi! mlioko kwenye hiyo kozi Mungu awatangulie
 
Tanzania rais kukumbuka matukio yake ya ujana ni dhambi kubwa

Tanzania rais anatakiwa awe kama malaika asiwe na hata kajikasolo

Ajabu kuliko ajabu
 
Mleta mada umeona hilo tu la kuiba wali jikoni? Kichwa cha habari tofauti na habari yenyewe. Nakumbuka nilipokuwa sekondari ungepewa habari kama hii na kuambiwa upendekeze kichwa cha habari na ukaandika kama hivi ungepata sufuri.
 
Basi simshangai tena, kumbe dogo wizi kaanzia zamani. Sasa namwelewa kwa nini anaiba bila hata huruma.
 
Duh! Hawa watu wanapenda ubwabwa asee! Ndio maana kwenye shughuli huwa wanaendaga na ndizi mfukoni..
 
Tanzania rais kukumbuka matukio yake ya ujana ni dhambi kubwa

Tanzania rais anatakiwa awe kama malaika asiwe na hata kajikasolo

Ajabu kuliko ajabu
Mkuu Chum Chang Mimi naona hapo umeteleza kidogo, bin-Adam yeyote Ana kasoro zake.
Hivi Kuna taifa kubwa kama Marekani (USA)lakini rais wake (....Jr) aliwahi kukiri hadharani kuwa wakati wa ujana wake aliwahi kuvuta bangi. Hilo halikuleta athari yeyote kwa yeye kuwa rais, na alipata support ya majaji/senators kwani wao pia waliwahi kutumia.
Sembuse kuiba ubwawa jeshini?.

Kwani wewe hapo ulipo umekwisha fanya mangapi na hutaki kusema. Inaelekea wewe hujaenda JKT Baba wacha!!! temea mate chini

tuliwahi kulipiga piga bwawa la samaki usiku kucha ili vyura wasilie,kisa nini mkuu apate usingizi..
 
Halasimulia alivo peleka umbea kwa nyerere ikamgarimu kuishi uhamiaji??????????,kweli wizi upo ndani ya damu ya na unarithisha hata watoto kama lizi moko
 
Kabaya zaidi hajutii tabia hiyo ya udokozi wa wali...na wala hajawakanya hao vijana wa JKT kuwa udokozi wa aina yoyote ile haufai kwa raia yeyote mzalendo.
 
Mkuu Chum Chang Mimi naona hapo umeteleza kidogo, bin-Adam yeyote Ana kasoro zake. Hivi Kuna taifa kubwa kama Marekani (USA)lakini rais wake (....Jr) aliwahi kukiri hadharani kuwa wakati wa ujana wake aliwahi kuvuta bangi. Hilo halikuleta athari yeyote kwa yeye kuwa rais, na alipata support ya majaji/senators kwani wao pia waliwahi kutumia. Sembuse kuiba ubwawa jeshini?.Kwani wewe hapo ulipo umekwisha fanya mangapi na hutaki kusema. Inaelekea wewe hujaenda JKT Baba wacha!!! temea mate chini tuliwahi kulipiga piga bwawa la samaki usiku kucha ili vyura wasilie,kisa nini mkuu apate usingizi..
Mkuu unajisumbua Hivi vitoto vya Youtube na FB haviwezi kuelewa unazungumzia nini!
 
Maskini rais wangu. Bila shaka alitaka kuwa mkweli too much. Hili halikustahili kusemwa kama mkuu wa nchi maana kina neno lako linakaririwa. Hapa alitakiwa kumwaga sera zaidi na si mifano kama hii ambayo watoto watadhani ni tabia ya kawaida, tena kwa kisingizio cha kuficha tu na kula baadaye??? Pole mh..hope utazingatia ushauri huu
 
Udokozi mpaka level ya jeshini..basi hii tabia bado anayo mpaka sasa. aseme na anavyodokoa sasa hivi. :frusty:
 
Back
Top Bottom