Kikwete asimulia alivyoiba wali JKT!

Kikwete asimulia alivyoiba wali JKT!

Kabaya zaidi hajutii tabia hiyo ya udokozi wa wali...na wala hajawakanya hao vijana wa JKT kuwa udokozi wa aina yoyote ile haufai kwa raia yeyote mzalendo.
Hivi wewe unashapita JKT ukiwa na umri 18-20 fresh from school?
Kwa enzi zile ukiwa JKT ni lazima utumie mbinu za medani kwa kufanya vitu vya ajabu kama kula vinguu maji vingi halafu kuvunga una homa upate light duty, kuiba nyanya, msosi ni vitu vya kawaida kwani wote ule ulikuwa utoto]
kuwania kazi kwenye offisi ya QM ni deal kweli kweli.Lakini kuna mengi mazuri sana unajifunza ambayo kwa wengine ndiyo dira ya maisha yao km kuamka mapema, usafi, ukakamavu nk
Poleni sana kwa ile generation ambayo imekosa fursa hiyo.
Kwa ninyi ambao
 
Hivi wewe unashapita JKT ukiwa na umri 18-20 fresh from school?
Kwa enzi zile ukiwa JKT ni lazima utumie mbinu za medani kwa kufanya vitu vya ajabu kama kula vinguu maji vingi halafu kuvunga una homa upate light duty, kuiba nyanya, msosi ni vitu vya kawaida kwani wote ule ulikuwa utoto]
kuwania kazi kwenye offisi ya QM ni deal kweli kweli.Lakini kuna mengi mazuri sana unajifunza ambayo kwa wengine ndiyo dira ya maisha yao km kuamka mapema, usafi, ukakamavu nk
Poleni sana kwa ile generation ambayo imekosa fursa hiyo.
Kwa ninyi ambao

Si kwambii kama nimepita ama la huko JKT.....ila kwa kiongozi tena wa 'Caliber' yake kutukuza wizi/udokozi mbele ya jamii...inachefua. Kwa jinsi ulivyosifia tabia hizi...sitashangaa ukiisifu "operesheni tokomeza" ilivyoendeshwa kiasi cha mawaziri kulazimika kufutwa kazi. Ndiyo maana waliohusika wamepitia mazingira hayo ya U'jkt' kama wewe....!

Narudia siwezi kuunga mkono sifa ya udokozi/wizi bila kujari imesemwa na nani.
 
Si kwambii kama nimepita ama la huko JKT.....ila kwa kiongozi tena wa 'Caliber' yake kutukuza wizi/udokozi mbele ya jamii...inachefua. Kwa jinsi ulivyosifia tabia hizi...sitashangaa ukiisifu "operesheni tokomeza" ilivyoendeshwa kiasi cha mawaziri kulazimika kufutwa kazi. Ndiyo maana waliohusika wamepitia mazingira hayo ya U'jkt' kama wewe....!

Narudia siwezi kuunga mkono sifa ya udokozi/wizi bila kujari imesemwa na nani.
Jee wakati Clinton aliposema kuwa hajahawi kuvuta moshi wa bangi wakati ameweka msokoto mdomoni katika ujana wake ilimpunguzia 'calibre'? au Obama alivyokiri kuwa ameshajaribu ganja wakati wa ujana wake ilipunguza 'calibre' yake?
Unachukua kitu trivial na kukifanya kuwa contraversial issue wala haileti maana
 
....
Unachukua kitu trivial na kukifanya kuwa contraversial issue wala haileti maana
Hatuwezi kuelewana kwa sababu tunapishana sana juu ya mtizamo wa tunachozungumzia....wewe unaona the issue is "trivial"...na mimi nasema issue ni "irritative" ndiyo maana kwa namna moja ama nyingine nataka ijadiliwe ili kwa pamoja tukubaliane kuipiga vita isipewe umuhimu wa kutukuzwa mbele ya wananchi. Kumbuka kauli anayoitoa rais inazingatiwa kwa umakini.
 
Hatuwezi kuelewana kwa sababu tunapishana sana juu ya mtizamo wa tunachozungumzia....wewe unaona the issue is "trivial"...na mimi nasema issue ni "irritative" ndiyo maana kwa namna moja ama nyingine nataka ijadiliwe ili kwa pamoja tukubaliane kuipiga vita isipewe umuhimu wa kutukuzwa mbele ya wananchi. Kumbuka kauli anayoitoa rais inazingatiwa kwa umakini.
Jee wewe hujawahi kufanya kitu cha kipuuzi katika kipindi hicho cha umri wako?
 
Jee wewe hujawahi kufanya kitu cha kipuuzi katika kipindi hicho cha umri wako?
Vitu vya kipuuzi kuna mahala pake pakuyazunguzia siyo kila mahala na kama kutakuwa na ulazima wa kulizungumzia jambo hilo hasa mahali ambapo ni hadhara inayojumuisha rika mbalimbali lazima uzungumze jambo hilo la kipuuzi kwa namna ya kulikemea na kuonya watu wasirudie jambo hilo siyo unalizungumza kwa namna ya kulitukuza.....

Lazima turudishe 'spirit' ya kusaidiana kulea watoto na vijana....siyo kwa kuwa wewe watoto wako wameisha kuwa wakubwa na wanajitambua basi unazungumza maneno ama unafanya matendo ya kuwapa wakati mgumu wenzako kwenye malezi. Hili haliwezi kukubalika la kuharibiana watoto kwa makusudi ama kwa kutokujua kutokana na maneno ama matendo yako.

Ni kweli hakuna binadamu ambaye hajafanya upuuzi....chakuzingatia tuwe waangalifu tunapozungumzia upuuzi huo.
 
Kwa hiyo inawezekana ndo maana serikali hii ya awamu ya nne imekua na mambo ya wiziwizi kuanzia juu mpaka chini?
 
Hatuwezi kuelewana kwa sababu tunapishana sana juu ya mtizamo wa tunachozungumzia....wewe unaona the issue is "trivial"...na mimi nasema issue ni "irritative" ndiyo maana kwa namna moja ama nyingine nataka ijadiliwe ili kwa pamoja tukubaliane kuipiga vita isipewe umuhimu wa kutukuzwa mbele ya wananchi. Kumbuka kauli anayoitoa rais inazingatiwa kwa umakini.
Hebu jaribu kufuatilia viongozi wengine duniani hasa wanapozungumzia ujana/utoto na mambo waliyoyafanya.
Kwa maoni yangu ni kuwa hii inaonyesha kuwa hata mtu awe anawadhifa wa namna gani lakini wakati wa utoto/ujana alikuwa na hulka za umri huo ambazo wote hupitia kwa namna moja au nyingine.
Hata wewe kwenye umri wa kipuuzi [18-21] ni lazima kuna vitu ulivifanya na leo ukivuta kumbukumbu unabaki unacheka tu.
 
Hebu jaribu..1. kufuatilia viongozi wengine duniani hasa wanapozungumzia ujana/utoto na mambo waliyoyafanya.
Kwa maoni yangu ni kuwa hii inaonyesha kuwa hata mtu awe anawadhifa wa namna gani lakini wakati wa utoto/ujana alikuwa na hulka za umri huo ambazo wote hupitia kwa namna moja au nyingine.
...2. Hata wewe kwenye umri wa kipuuzi [18-21] ni lazima kuna vitu ulivifanya na leo ukivuta kumbukumbu unabaki unacheka tu.

1. Hiki hakiwezi kutumika kuwa kigezo cha kumruhusu kiongozi ama mtu yeyote mzima kushabikia mambo ya kipuuzi aliyoyafanya utotoni hadhari bila kuonyesha kuwa alichokifanya ukifai na hakistaili kuigwa na kupigiwa mfano. kama ni wa nchi za nje waache wafanye wao huko sisi tusiige yao...kwao yawezekana jamii zao issue kama hizo siyo "irritating issue" kwetu ni irritating.

2.Katika jibu langu post namba 112 ya uzi huu nimeeleza kwa ufasaha juu ya hili.
 
Na simu alipita nayo nin mmhh napata mashakaa
 
Anakumbuka enzi zake! binafsi nadhan inafurahisha sana pia ni faraja ukikumbuka vitu ulivyofanya utotoni! pia nikikaa na kukumbuka matukio ya utotoni hufurahi na kucheka mwenyewe
 
Back
Top Bottom