<br />Hivi baada ya kukamatwa na kupiga magoti,alivyoachiwa aliachwa aende na ubwabwa wake au aliurudisha?
<br />Hakughusia sababu zilizomfanya atoroke Monduli kwenye chuo cha maofisa wa jeshi?
<br />Kumbe mheshimiwa rais alikuwa kundi moja na stanley aliyekanyagwa na trekta! Huyo marehemu ni jamaa yetu kwenye ukoo wa Mariki.
<br />Dokta PADRI SLAA kuiba wake za watu alianza na umri gani.mimi sioni cha ajabu coz hakuna mtu perfect. Kina obama wamekiri amewahi kuvuta bangi itakuwa kikwete ambaye sio padri
Jeshini wizi sio kosa ni sehemu ya mafunzo(mbinu za medani) mfano huna bunduki na unamuona adui yako ana bunduki wazo lako kubwa ni ama umyang'anye kwa nguvu ikiwezekana umvunje shingo na kumuulia mbali au uibe bunduki kwa manufaa ya makamanda wenzio. Au mpo frontline na chakula kimewaishia lakin jirani kuna raia wana chakula so kupona kwenu mtakwenda kusweep chakula kwa faida ya makamanda,niliposoma habari hii nilishutuka sana , kumbe mkuu wetu ubwabwa unamtoa roho. Sasa hapo Riz si amejifunza tabia hii taratibu?
Kumbe tabia hizi MBILI kaanza nazo siku nyingi.....
- Kuiba
- Kufanya maskhara hata kwenye vifo vya watu