babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Hawa ni wale so-called investors wananataka kuja mifuko mitupu waondoke na gunia la pesa.Zile zama za kila kitu kujibu ''yes sir'' zimepita,wamekutana na B Mengi ni mwelewa wa mambo na anamsimamo thabiti wakapa majibu wasio tazamia.
Kama hata wameshindwa kulipa mawakili zaidi ya "no win no fee" ambao wanatumiwa na lower and middle class wangepata wapi pesa za kuwekeza kwenye hilo shamba?
Kama hata wameshindwa kulipa mawakili zaidi ya "no win no fee" ambao wanatumiwa na lower and middle class wangepata wapi pesa za kuwekeza kwenye hilo shamba?